pole sana maumivu ni makali sana.jaribuni kukuaa na kuzungumza labda atajirekebisha.lkn sidhani hapo atatafuta njia nyingine tu kunuacha si rahic.kama unaweza kusimama mwenyewe jipange tu
inakuaje watu hamjali afya zenu jamani yani mtu kakuambia alikua na msichana na we ukakubali kudo nae
pekupeku huogopi wewe?aah hata nikikulaumu ndio yashatokea hata hivyo pole sana.kama una kazi yako
huna haja ya kumfatilia huyo mwanaume tunza mimba yako na jiwekee akiba ya kutosha ili...
hongera mkuu miaka 11 si haba!
me ndo kwanza nataka kuingia miezi ya hivi karibuni naomba mungu anitangulie
kwa kweli mana vikwazo ni vingi ninavyovishuhudia kwa watu wangu wa karibu wanavyoyumba na ndoa zao.
umefanya kitu cha hatari kweli ndugu dah lkn utavuna ulichpanda kwani penzi ni kikohozi siku utaumbuka tu na ukiumbuka naomba uje useme tena humu jf tukushauri.
umeridhia mgawane mali japo hajachangia chochote!!!!!!! kwa kweli huo ni unyanyasaji kabisa na hapo nilichonote mimi ww ndio mwenye matatizo si huyo dada na swala la talaka umelifurahia kweli.sasa cjui hapa unataka tukushauri nn wakati umeshasema j3 ndio unampa talaka.lkn usisahau kumwangalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.