Hebwe weka hoja mezaji. Mm nilitegemea amtaje mtekaji sasa anapuyanga tu nje ya barabara mm sijaona uzito wa speech yake nimeona tu anahanjahanja.. tunataka kiongozi wakuonesha njia sio kupiga maneno.
Mstaafu usijishushie heshima yako. Kuna mtanzania alitesema anafurahia utekaji?? Haipendezi mtu wa kaliba ya Mhe Membe kutoa shutuma asizozithibitisha badala ya suluhisho. Ingekuwa bora angalau umtaje mtekaji ni nani. Mbona humjui pia?
Ulinzi ni proffessional wadau na ibalipa. Sema smtym inategemea unafanyia wapvhii kaz ya ulnzi. Security officer ni mlinzi kimsingi na it pays alot hivyo karibuni ktk fani
Electric tech yashatoka check na web yao. Ila yapo n pdf format.. Mdau tafuta cimu yenye uwezo wa kufingua pdf file utaenjoy sana mzee mambo mengi yamo humoo
Pepa nyingi kuanzia tar 8 hawajatoa wametoa systm analst tu. Pia ya nyuma kama legal off ii bado. Expecting today siku ya kazi.. Ila wadau hawa jamaa wako vizuri sana mambo yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.