Huwa wanakua nayo ila tu ni kwamba huwa huna wakati wa kuwaona mara kwa mara kama vile mabavo wanakua marais. Namaanisha kwamba kila kiongozi ana symbols zake na characteristic zake lakini ni kazi kuzijua kama huyo mtu sio Hi profile. Mfano wakati JK anapata Urais utakumbuka kuitokea hata...
HIVI haya maoni yenu yanareflect nini kuhusu maendeleo ya Nchi? HIVI ili mtu awe waziri Mkuu anatakiwa awe na elimu gani?
HIVI haya maoni tunayoyatoa hatudhani yanakua more Personal than of a Public interest? Mnanikumbusha maisha ya kitoto, ambapo kundi moja likigombana na mwenzao mmoja basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.