ndugu hapo hakuna msomaji,ila nakusapoti kwa asilimia zaidi ya mia moja huyo mwanaume sio mume!lakini kumbe ukikaa na mwanaume mkazaa na hamjafunga ndoa waweza achwa akaolewa mwingine?
dah!kaka muombe Mungu akujalie uvumilivu,je kama wewe unashindwa kuvumilia je mkeo?kwa hivyo unakubali na yeye atoke nje?hapana bwana inawezekana kuvumilia acha kujiendekeza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.