Niliwahi kwenda kiwandani kwao hao TOUCH BOARD pale Tegeta wanasema zao hazishiki moto pia hazipitishi maji sasa sijajua kama hizo nyingine nazo ni hivyohivyo au la
Mimi ni mfanyakazi wa shirika la umma nataka kufungua biashara ambayo itakuwa inaniingizia kipato cha ziada na katika kufikiria ni biashara gani nimepata wazo la kuanzisha car wash.
Sasa nilikuwa nataka msaada kwa wenye uelewa na biashara hii kuhusu kiasi cha mtaji na vifaa vinavyohitajika...
Hiyo gharama ya kuuza umeme umekosea au ndio unamaanisha? Dola 875 kwa KWH!? Sasa hao Tanesco watauza shillingi ngapi kwa mtumiaji? Kuwa makini unapokuwa unapost taarifa hapa JF
SAMATA si alikuwepo uwanjani alifunga mangapi kupunguza tofauti ya magoli kama si kurukaruka tu? Huo uchezaji bora wenyewe kabahatisha tu aliyekuwa anastahili ni Kidiaba
Zamani nilikuwa nasema makocha wazawa wanaonewa lakini kwasasa napingana na fikra zangu kuwa sio sahihi ni kwamba wana uwezo mdogo sana, kama huyu Mkwasa sijui ni kule kuzoea kufundisha timu ya wanawake au la, naombea afukuzwe haraka na hata Yanga wasimfikirie tena abaki kufundisha timu za...
Ikiwa remote au CIU kitaalam inonyesha Err 77 ujue ni kuwa hakuna mawasiliano kati ya hiyo remote CIU na mita MCU hivyo kuna sababu kadhaa za kujua hilo tatizo linasababishwa na nini.
1) Hakuna complete path kati ya hivyo vitu viwili either kutokana na loose connection au umechomeka remote...
Exactly, kwani Dar kuna beach moja tu kwanini hakutaka kuwekeza kwenye beach nyingine? Aende zake kama vipi kuna mapori kibao anaweza kuweka atakacho kwakuwa ana pesa na akavutia watu lakini kwa COCO BEACH ni Big No
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.