Makato ya matibabu yako kisheria hivyo kinachotakiwa kwa mtumishi anayechangia ni kujaza fomu na kuziwasilisha katika ofisi yoyote ya Mfuko kisha utaratibu wa kuandaliwa kitambulisho utafuatwa na kwa haraka zaidi hivyo kama hujajaza fumo jitahidi ujaze ili uepukane na lawama kwa Mfuko.
Kila Mtanzania ana haki ya kugombea bila kujali huyu ni mwanamke au mwanaume, Katiba imeweka wazi haya mambo na hakuna mwenyehati miliki na urais wa nchi hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.