Anapataa tena kwa uhakika bila chenga hata me imenitokea,hata kama mtoto ana miezi nane,amwachishe kunyonya na ikiwezekana kama alikuwa analala naye mtoto aache mara moja,joto la mama kama mjamzito pia huchangia kumwathiri mtoto kama alikuwa bado hajaacha kunyonya,alafu wazazi wa mtoto mfuatilie...
Pametulia kiasi,hatujui wananchi wanafikiria nini,maana wenzao wameuwawa kwa risasi na polisi,hatujui hasira iliyopo mioyoni mwao,mungu atunusuru sisi wasongea isiwe kama ile vita ya wanajeshi na wananchi ya kuchomeana vitu
dah we unaonekana sio mtanzania,hivi kaa chini ujiulize nini maana ya kuchagua viongozi,usilete maneno ya biblia pengine hata maana hujui,sasa kama we ni kiongozi wa ulinzi na usalama,halafu usalama haupo unategemea nini?toka waache wanaojua wajibu wao wafanye kazi,eti we ni mwanausalama afu ndo...
Hali ni tete mpaka sasa,ofisi moja ya ccm imebomolewa,baadhi ya huduma za jamii zimefungwa,idadi kubwa ya wananchi ni majeruhi na wengine ni marehemu,watoto wa shule wakimbia hovyo,eti maisha bora kwa kila mtanzania ndio hayo?au amani na utulivu ndio hiyo ya watu kuuwawa?jamani niombeeni mpaka...
wananchi wamechoma matairi mengi barabara zote zinazoingia,wananchi wamechachamaa hawaogopi polisi wala f.f.u na mabomu yao,ofisi ya ccm imebomolewa na baada ya polisi kuuwa raia ndo vurugu zimezidi watu wanatoka majumbani kwenda kuungana na wenzao,shule zimefungwa watoto wamerudishwa...
ASANTE BISHANGA,yanipasa kushukuru hata kwa jokes zako lakini tambua niko serious,na kama niko serious jokes zako haziwezi kunikatisha tamaa,ili ufanikiwe na wakosoaji wanahitajika
ASANTE BISHANGA,yanipasa kushukuru hata kwa jokes zako lakini tambua niko serious,na kama niko serious jokes zako haziwezi kunikatisha tamaa,ili ufanikiwe na wakosoaji wanahitajika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.