nenda maduka ya kiarabu waambie wakupe altiti,kibiriti upele,karafuu maiti,na shubiri nyeusi kisha jipake kwa siku saba au tafuta asali kisha ujipake kila usiku na kumbuka usijipe hofu kuwa havita fanya kazi kwan ndo mbinu yke kukutia hofu na usiache kujiombea kwa mungu maana hakuna awezae...
usikate tamaa ndugu tafuta kwenye maduka ya dawa za kiarabu kama altiti,karafuu maiti,kibiriti upelena shubiri nyeusi jipake kwa siku saba kama utashindwa tafuta asali ujipake kila unapo lala itakusaidia kwani hata weza kuingia mwilini mwako.punguza hofu maaa ukiwa na hofu unapoteza utukufu wako...
ur hobby is ur freedom now mapenz nì mawazo kama ukikaa peke yako ndo utaumia jaribu kutafuta rafiki n go out life is gud out there n time wil heal u hope u get better
jitahidi kusahau yaliyo tokea maana ni doa maishan kama utaliwazia,chamsingi ondoka kwan huyo ni shetan atakufatafata ila chunga thaman yako hakukuumba yeye hivyo hawezi jua thaman yako bali tamaa zake
huwakuta wengi ila tafuta romantic ideas funny and sexy game ma za kucheza nae itakuwa poa n u wil keep her 4gud out and indoor ideas pindi unapokuwa nae n believe ita work n it wil coz imesaidia wengi
our mind a sensitive 2changes ndo maana mhemko unakuwa mkubwa ukiwa na mtu mpya,so mfanye awe interest change places i.e not al the time in bed, google mambo ya foreplay ili ufanye mambo yawe interest
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.