Habar wapenz, jaman nina mpenzi tena tuna miaka 4,ambaye kwa wazaz wangu anafahamika na kwe2 pia anafahamika, umezuka ugomvi bila sababu eti anataka password za email yangu kwa nguvu kwa lazima, nimemwambia nikiamua nitampa,lakn kwake halielewek,imefikia wakat sasa ametamka kwa mdomo wake km...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.