thats why am telling u am doubting even what will they do tofauti na ccm, hata hilo la kushika nchi halijashika kiivyo bado watu wengi tu ninaowajua ambao hawana imani na cdm. sasa wanaanza kujichafua na propaganda za ajabu kabisa
By the look jinsi CHADEDMA wanavyoendelea na siasa hizi zilizozidi propaganda itawachukua mda sana kufika wanapohitaji.
Unapohubiri usafi halafu mtu anajivua gamba na hapo hapo anakuwa kamanda mlitakiwa muangalie kwa sababu hao wanaovua gamba hata kwa mfano halisi wa nyoka akisha vua gamba ana...
what am trying to tell u ni kwamba hawa watu mnaowachukua ni very influential, very powerful, wenye nafasi kubwa ya kubadilisha upepo wa cdm. You must accept this
first i should declare my interest" mimi sio member wa chadema" ila ninatamani changes katika nchi yangu. sasa kinachoendelea ndani ya cdm kinasikitisha na kinapelekea ku loose interest yao ya kupinga ufisadi. nimekuwa na bahati ya kuwa karibu na baadhi ya viongozi wa chadema na hawa wanaccm...
Habari zenu wakuu?
Ana miaka 26 lakini toka azaliwe hajawahi kupata zile ndoto pevu(wet dreams)..
Hii ndio case niliyoombwa ushauri. Imeniwia vigumu kumjibu haraka. Je ni tatizo la kawaida? Kabla ya kukutana na mshkaji ckuwah kuhisi kama kunamtu anaweza asipate hizi ndoto.
Ushauri wenu jamani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.