lazima aseme hivyo ,kumbuka alikuwa kwenye sherehe hata kama hali ni mbaya huwezi waambia watoto jamani chakula kinaisha kesho unajitutumua na kuwambia kesho gari litashusha magunia ya mchele
ngoja watu wawachangamshe viongozi labda watatoka kwenye usingizi mnono wakudhani wamekabidhiwa nchi ili wajineemeshe wenyewe huku wananchi wakitesekana,serikali ni kocha timu inaposhindwa kocha na wachezaji wanawajibika walimu wamechoka kutoa vilaza ngoja wadai haki yao nani hasiye taka...
hakuna nchi maskini labda wewe mwenyewe watu wana fedha nje ya nchi zaidi ya bajeti ya serikali ya mwaka usema nchi maskini ,ungesema nchi yenye watu waroho na wabinafsi ningekuelewa.
Tanzania si maskini hata kidogo
nakuombea ili akili yako wewe mleta mada hii ufunguke ufahamu wako mapema,maana watu kama nyie ndo mnaorudisha nyuma maendeleo ya nchi hii,hivi umeangalia hizo picha ulizowekewa hapo juu kweli wewe maisha hayo siutakufa mapema kwa sababu ya mazingira hayo,tatizo lako wewe hutibiwi huko ndo maana...
Ngoja twende rwanda tukafanye internship huko na ajira watatupa huko ,tuwaache nawana siasa wenu ,coz hata wananchi munaungana na serikali yenu kutugandamiza furaha yenu muone sie tunaishi maisha ya taabu ,kazi kwenu
unapozungumzia nidhamu cjakuelewa unamaanisha upande upi kati ya mwajiri na mwajiriwa,huwezi kuniambia niwe na nidhamu ya uwoga.fikria wewe ndo daktari mama amejifungua kitoto kiko salama
mara wakati unajiandaa kumruhusu mama aende nyumbani unabaini mtoto kapata magonjwa mapya kutokana na...
Unaota ,tumechoka kuona watu wanatufia mikononi mwetu huku hatuwezi kufanya lolote kisa vifaa,ukiambiwa katupigie ct-scan regency unadhani sie tuna ubia na hao private,ukianbiwa kwenye echo,na ecg watu ni wengi njoo mwezi ujao unadhani unatengenezewa zengwe la wewe kutoa rushwa ,ukiambiwa icu...
sasa hizo ICU za kwenu ambazo ventrator na ECG machine ni zakubeep tena za kichina mara zisome mara zikwame wataziweza wamezoea mazingira mazuri kama ulivyo onyesha kwa picha .
madaktari wote wazuri Botswana ni watz na product ya vyuo vyetu vya Tanzania,ila unapokuja mazingira ya kazi unatumia 0.005% ya kile ulichonacho kwenye akili,kikwazo kikubwa ni mazingira hayaruhusu,Kwa kukusaidia hakuna kitu kinaumiza kwa dr au nurse kuona mgonjwa anakata roho huku ukijua labda...
NAWANAOSIMAMIA NA KUTEKELEZA? KUTUNGA SIO TATIZO ,KAMA NI SHERIA NA SERA TUNA SERA NZURI Lkini maskini wakutupwa coz ya implimentation ziro tunawaza matumbo yetu badala ya miradi na huduma za kukwamua wananchi kwenye dimbwi la umaskini.ila tatizo gamba nalo linatesa
- Wabunge ni tofauti sana na hao wengine, WAO NI WATUNGA SHERIA! sasa mwenye kutaka sheria mbovu kwa wananchi akiwapa rushwa na kutupitishia sheria mbovu kwa taifa utasema ni sawa na wengine serikalini?
HIVI NI TOFAUTI KWA MAANA YA KUTUNGA SHERIA ,MBONA UBINAFSI ULIOKITHIRI NDO HUU ,MBONA...
Ndg zangu hapa hakuna cha takukuru wala bibi yake takukuru wote hawa ndo wale wale waliiweka tu kutafutiana ajira wao na watoto wao,kwanza hao ndo wala rushwa namba moja .nyani akamkamate ngedere kwa wizi mahindi hajawahi tokea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.