Sasa mkuu kwani alikutapeli au kukuibia pesa? Si alikusaliti sasa unalipiza kwa kumtapeli sio sawa. Mrudishie hiyo laki na umuambie huwezi kumuongezea.
Mkuu umenikumbusha mbali 2005 hiyo, kuna muda dem anakuja saa8 eti kashindwa kulala inabidi nilale chini alale na jamaa, nikabadili gia angani nalala msikitini, huku nakaza buti. Upepo ukabadilika mambo safi, mwaka juzi kaja na yeye hana pakulala nimpe tag, maisha haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.