Search results

  1. B

    Naomba msaada nafikaje Mgololo kutokea Dar

    Njia rahisi ni kushuka mafinga unalala halafu siku ya pili kuna mabasi ya moja kwa moja mpaka mgololo kiwandani. Kuna guest house nzuri tu na nyingine za kawaida, nimeishi maeneo hayo.
  2. B

    Naomba msaada nafikaje Mgololo kutokea Dar

    Mafinga hakuna treni
  3. B

    Mikoa iliyowahi kutoa wagombea Urais kupitia upinzani

    Mtikila ni wa mkoa wa Njombe wilaya ya Ludewa
  4. B

    Anayefahamu wilaya ya KALAMBO-RUKWA

    Watumishi wengi wa kule wanakaa sumbawanga mjini maana kule ndo kumeanza kendelea inshort bado ni mji mdogo sana
  5. B

    Anayefahamu wilaya ya KALAMBO-RUKWA

    Anapita Mbeya, tunduma, sumbawanga then kalambo. Kalambo ni wilaya mpya iliyotokana na wilaya ya sumbawanga
  6. B

    Vituko mikoani

    Unatudhalilisha wapangwa wewe
  7. B

    Uliza chochote kuhusu Sumbawanga ujibiwe hapa

    Kuna maporomoko ya mto kalambo (Kalambo falls) ambayo ni ya pili kwa ukubwa Afrika ingawa yapo katika wilaya ya kalambo km 90 hivi kutoka sumbawanga mjini. Poa kuna kivutio cha misitu ya hifadhi ya Mbizi km 10 kutoka mjini kati ambako kuna wanyama aina ya mbega wekundu ambao ni endemic kwenye...
  8. B

    Uliza chochote kuhusu Sumbawanga ujibiwe hapa

    Kwa nyongeza kuna St. Kagwa, St. Teresia na African rainbow
  9. B

    Uliza chochote kuhusu Sumbawanga ujibiwe hapa

    Kuna migodi midogo ya madini katika eneo la misitu ya Mbizi mkuu
  10. B

    Mlima Kilimanjaro kama ulivyoonekana leo asubuhi

    Imepigwa nyuma ya mlima kwa maana ya Tarakea eneo la Rongai
  11. B

    Mlima Kilimanjaro kama ulivyoonekana leo asubuhi

    Mwezi uliopita nami nilishuhudia
  12. B

    Watanzania mapacha wenye miaka 25 wanachukua PhD Harvard

    Hawa vijana wanatoka kwenye poor family ya huko umasaini
  13. B

    Watanzania mapacha wenye miaka 25 wanachukua PhD Harvard

    Sina hakika kama walikuwa wanasomeshwa na serikali ila wakiwa Mandela walikabidhiwa kwa Vc awatunze na waendelee na kuexercise research pale ili wasikae idle nyumbani
  14. B

    Watanzania mapacha wenye miaka 25 wanachukua PhD Harvard

    Sidhani kama wao walitunga hizi story itakuwa ni watu wengine maana wao ni vijana wanyenyekevu sana wasio na majivuno na wanapenda kuongea na mtu yeyeote. Ni vichwa kwakweli ukiongea nao
  15. B

    Watanzania mapacha wenye miaka 25 wanachukua PhD Harvard

    Huyo aliyesoma MD akiwa amemaliza degree ya kwanza alipelekwa kwenye hispitali fulani kufanya surgery kama sitakosea amefanya 18 successfull
  16. B

    Watanzania mapacha wenye miaka 25 wanachukua PhD Harvard

    Nachojua walipelekwa kutembelea huko Mars na magazeti ya Tanzania yakaandika kuwa na watanzania wa kwanza kwenda huko
  17. B

    Watanzania mapacha wenye miaka 25 wanachukua PhD Harvard

    Nawafahamu personally, ni wanyenyekevu sana nilikutana nao pale Nelson Mandela Arusha mwaka 2014 wakiwa wamemaliza degree ya kwanza Havard na serikali iliwaweka pale maana ni taasisi ya utafiti huku wakisubiri kuendelea na masomo yao huko Havard
  18. B

    Ni msomi gani nchini, unadhani amechangia kutufanya maarufu kimataifa kupitia Uvumbuzi na Usomi wake

    https://www.google.com/url?sa=t&source=web&rct=j&url=https://en.m.wikipedia.org/wiki/Mpemba_effect&ved=0ahUKEwjK_KK7kr3TAhVpLsAKHXDYDPQQFgglMAI&usg=AFQjCNHjj_uCjVMBO-vqJQn_heRjlrbXBw&sig2=SiPM66AWR_e3D8LwAvkJ9A
  19. B

    Mtu yeyote anaweza kuushika Mwenge wa Uhuru?

    Inategemea n utratibu utakaokuwa umepangwa mahali husika wakati wa kuupokea. Binafsi nimewahi kuubeba nikiwa mwalimu shule fulani kipindi hicho ulikuja kuzindua majengo. Baadhi ya wanafunzi walipangwa kuupokea na mimi pia niliweza kuubeba na kutembea nao kwa mita kama hamsini hivi
Back
Top Bottom