Wakuu kama mada inavyojieleza, hivi kuna app ipi au program ipi hata ya kulipia ambayo unaweza set ikawa unaitumia kuifuatilia simu yako kwa kutumia imei namba yake?
Ikawa inakupa location ya simu yako ilipo.
Hiyo siyo start up logo, ni bios logo. Hata ukibadili windows ipo tu ila unaweza kui disable na siyo kuiondoa. Kuiondoa ni mpaka kufanya update ya bios na ambayo hizo bios zote za model hiyo zinagoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.