Kwa hulka na sirika ya Kikwete lazima aje na "tabasamu" kubwa na atakachofanya ni "kuwabeza" madaktari... jambo la kushangaza zaidi kuna idadi kubwa ya wapiga kura watasema "mh Raisi yupo sahihi.."
Kwa wanaoishi na extended Family muda huo ndiyo muafaka... Lakini mara nyingi muda huo aidha wanaume wanakuwa wanaangalia mpira wa Ligi ya Spain (kama jana usiku kuamkia leo) au ndiyo wanarudi kutoka nyumba za wenyeji baada ya kupitia BAA!
Wanawake wengi ndoa zetu ni mateso!
Ikitokea sehemu yoyote ya kutusaulisha mateso inabidi tuwemo hivyo hivyo!
Wengine waume zetu huwa wapo nyumba ndogo mpaka saba usiku!
Kama alitenda MEMA atalipwa MEMA kama alitenda Mabaya atalipwa Mabaya! Amen
@ Duble Chris
Samahani Nje ya mada kidogo:
frustration is given by expectation divide by
outcome
ie frustration = expectation/outcome
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.