Aliyeshauri ule mkutano ufanyike pale anatakiwa akapimwe akili...ule uwanja ni wa serikali siyo wa ccm...Ccm wameuza maeneo ya wazi hapa Dar..toka vyama vingi vimeanza sijawahi kuona mkutano wa kisiasa ukifanyika kwenye viwanja vya mpira vya serikali has a hapa Dar
Masanja hana mahusiaono na hii team...wamiliki wa hii team ni Highland Estate wanaomiliki mashamba ya Mkonge mkoani Morogoro na Mpunga huko Mbalali Mbeya ..familia ya PirMohamed
Habari Taarifa ambayo Ni Rasmi Mh.Waziri Mwenye Dhamana Ya Michezo Mh.Harrison Mwakyembe Ametangaza kuwa
Mfumo wa Uchezaji wa Ligi katika Mpira wa Miguu ni kuwa
Ligi kuu itachezwa katika Mkoa mmoja ambao ni Dar es Salaam hivyo timu zote zitacheza mkoani Dar.
Huku Ligi daraja LA kwanza na ligi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.