Ukitaka kujua ukweli wa hili jambo soma makala za kiutafiti zilizoandikwa na mwandishi mashuhuri hapa tz bwana Joseph Mihangwa,tafuta makala zake kupitia gazeti la raia mwema zinazoitwa,kifo cha karume na mapinduzi ya znz.Hapo ndio utaujua ukweli ila hizi nyingine ni porojo tu.
Ndg wanajamvi wenzangu na watanzania kwa ujumla, mi nipo hapa geita na ninafanya kazi na katibu wa chadema mkoa wa Geita ndg rogers ruhega,baada ya kuona huu ujinga uliopewa jina la tamko la chadema mkoa wa geita nimekwenda ofisini kwake na kumuuliza juu ya huu upuuzi na haya ndio ya likuwa...
Heshima mbele makamanda,leo hapa mkoani geita kuna ufunguzi wa mashindano ya soka vicky kamata cup ambayo yanafunguliwa leo j2 .Lakini cha kushangaza bado hawa magamba wanatumia ile mbinu ya kusomba watu kwa malori ili kujaza watu uwanjani,hapa kuna watu wamesombwa toka...
Ndg mwana jamvi hivyo ndivyo geita ilivyo kila mahali ni vumbi,hakuna huduma za maana za jamii kama vi hosp,shule,maji safi na salama,zahanati na nk,lakini inavyosikika nje kama vile ni sehemu mahalumu sana,bora
2015 ifike haraka jamani tumechoka na hawa magamba.
Bora wagome tu,huku geita mkuu wetu wa mkoa anaishi hotel tangu alipokuja kulipoti kwenye kituo cha kazi pamoja na wakuuu wapya wa wilaya,wizi mtupu,gomeni wakuu:israel:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.