Ndugu Mteja;tunakutaarifu kuwa bei ya majisafi imepanda toka Sh 1,098 hadi sh 1,663 kwa lita 1,000 pia bei majitaka imepanda toka sh.275 hadi sh.386 kwa lita 1,000 kuanzia Dec.2015 maelezo piga(0800110064 au 0222194800)
HAPA KAZI TU
Watu wenye akili na uwezo wa kuongoza nchi lazima watoke ukanda wa pwani.
Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Membe, Makamba, ...........
Watanznia wegine ni wasindikizaji tu
It is possible by considering Newton's first law of motion. "Everybody continuous in its state of rest or uniform motion on a straight line unless compelled by some external force to act other wise". Therefor the guys at the top and the tennis ball are all moving with the same speed as that of...
Huo sio unyama ni ubinadamu. Tembo hawezi kumfanyia tembo mwenzake ubaya, wala simba hawezi kumfanyia simba mwenzake ubaya. wanyama wote katika specie zao mbalimbali wanastahiana
Mwaka jana watu wako kwenye swalaa, simu ya jamaa mmoja ikaita ina wimbo wa Rose Mhango unaosema "NIBEBE, NIBEBE BWANA YESU NIBEMBELEZE". ilikuwa ni kashikashi ndani ya msikiti.
Na asie na dhambi awe wa kwanza kumtupia jiwe!!
Mtu mmoja manzese alisikia kelele za mwizi akakimbilia akakutana na yule kibaka na kibaka kamgeuzia kibao na kumwita yeye ndiye mwizi akaanza kumpiga. Watu kuja bila kujua kibaka ni nani wakaanza kumpiga na kibaka akatokomea. Damu ya mtu asiye na...
Lowasa is not stupid. He has plan B. He knows from the very beginning what will happen on the way. they may think they are containing Lowasa not to contest for the coming election BUT he will emerge as a winner. Viva Lowasa.
Safari yoyote katika maisha huwa na makwazo mengi. Hata mtoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.