Search results

  1. R

    Nacte hatimaye kuachia 3rd round selection.

    Inawezekana hawa jamaa wakawa wametoa majina bila kuwasiliana na vyuo husika? Maana leo asubuhi nimeenda chuoni kuulizia kama ni kweli nimepangwa hapo wakaangalia jina langu halipo.
  2. R

    Mashehe wa Bara Ongozeni harakati za kuupinga Muungano; Tanganyika isiidhulumu Zanzibar

    Naomba nisaidiwe katika hili la matatizo ya Zanzibar, hivi matatizo yao tunayafahamu kweli? Uchomaji wa Makanisa na Bar unahusiano gani na kudai Zanzibar huru? Mi naomba niwashauri Viongozi wa kisiasa wa Zanzibar waliangalie hili vizuri wanamengi ya kupoteza kuliko Watanganyika kwani mkate wao...
  3. R

    Kuwa waziri kabla ya kuapishwa kuwa mbunge

    Hivi watanzania tunapelekwa wapi jamani? Naomba wanajamvi mnisaidie hivi Mkuu amekosa wa kuwapa uwaziri ktk wabunge wote wa ccm waliopo bungeni? Hili linaniogopesha yaani ktk wabunge wote waliochaguliwa na wananchi kupitia ccm ni Vilaza hawawezi kusimamia wizara nyeti kama ya nishati na madini...
  4. R

    Hivi mafia iko zanzibar au tanzania bara?

    Jamani wanajamvi tupunguze majibu ya kihuni. Mtu anauliza swali lake la msingi maana sote tunajua Tanzania visiwani(Zanzibar) inatengenezwa na visiwa viwili Pemba na Unguja.Tunapaswa kumwelimisha kuwa Tanzania ni muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar. Sasa unavyosema Mafia ni Tanzania...
  5. R

    Ijue sheria na hukumu ya kuua bila kukusudia

    Kama ndio hivyo ni sheria gani iliyotumika ya kumwachia huru Ditopile Mzuzuri?
  6. R

    Dawa za kurefusha na kunenepesha uume na njia mbadala

    Mwiba ni mwiba tu ndugu yangu Mbigiri ndogo lakini ikikuchoma lazima unyanyue mguu. Turudi katika mada, Ni hivi ninachokiona hapo ni malalamiko yake ya kua humfikishi na sio yako ndogo au yake kubwa hapana. Maumbile ya hawa akina Eva yapo sensitive about 5cm kutokea nje kuingia ndani na hata...
  7. R

    Je! Rais anaweza kuvunja bunge bila bila kupoteza urais wake?

    Jamani wadau naomba msaada wenu kuhusu huu uvumi wa Rais kutakakuvunja bunge.Je anauwezo wa kikatiba wa kufanya hivyo wakati wote wamechaguliwa na wananchi? na anaweza kufanya hivyo bila yeye kupoteza nafasi yake?
  8. R

    TRA, BoT wanalipwa mishahara minene kuliko maprofesa’

    Na pia ufahamu kusomea Udaktari pale IMTU, Bugando, KCMC, Ifakara na St. John ni zaidi ya 3mil. kwa mwaka wakati huo uhasibu unaosema 3mil. ni ADA ya miaka miwili.Achilia mbali miaka ya kusemea udaktari wenyewe. Tusiwe wanafiki kama mtu anastahili mwache apewe na kama na wewe unataka bado...
  9. R

    Wanaounga mkono mgomo wa Madaktari na wanaopinga madaktari kuboreshewa maslahi, hawako sahihi

    Pole ndugu yangu kwa uliyoyashuhudia ni kweli hao watoto hawana hatia. Mimi naamini hilo ni kosa la serekali kwani ilisema itawaleta wanajeshi waje kuziba nafasi za madaktari waliogoma? Naomba nimshauri Mh. Pinda swala la mgomo sio sawa na la uokoaji au kujenga madaraja ambalo linahitaji...
  10. R

    Pinda is right! Doctors are wrong! Doctors have frustrations!! They must apologize to all Tanzanians

    Kila fani inaumuhimu wake na changamoto zake. Fani ya udaktari ni ya kipekee na inahitaji umakini mkubwa maana inajihusisha na maisha ya mtu mmoja mmoja na sio kwa ujumla wetu. Hivyo basi huwezi kulinganisha Uhandisi na Utabibu hata kidogo makosa ya Uhandisi yanarekebishika lakini ya Utabibu...
  11. R

    Mavazi ya taifa hutengenezwa kwa kamati au ni utamaduni wa jamii?

    Vazi la taifa sio kitu cha kufungia watu ndani ili wabuni watanzania tutokeje! Kama tunataka kutambulika kama watanzania tunapokuwa katika viwanja vya kimataifa kuna vitu vingi tu vinaweza kututambulisha na sio nguo ulizovaa mf: Utawala bora na wa kidemokrasia, kuzingatia haki za binadamu...
  12. R

    Adhabu ya Kunyonga Hadi Kufa imepitwa na wakati?

    Mimi nafikiri imepitwa na wakati. Hizi sheria tulizokopa kutoka kwa Wakoloni wetu kwa sasa zimekosa mashiko. Mimi naamini kifungo cha maisha without possibility of parole na kazi ngumu ni adhabu kubwa na inatosha kumfanya mtu kujutia kosa lake na hata kwa wale waliopoteza ndugu yao watarizika...
  13. R

    Haki ya mtumishi kujiendeleza kimasomo

    Sheria za kazi (Utumishi wa umma) zinasemaje kuhusu mtumishi anayetaka kwenda kujiendeleza kimasomo wakati hajamaliza hata mwaka mmoja kazini na ikiwa gharama za masomo atajigharamia mwenyewe.
Back
Top Bottom