Naongea km mmeru na mpiga kura pure kutoka Mchai, yan km ccm mnajpenda jarbun kuchukua hl jmbo kwa wiz na nguvu km mlvyozoea! Hak ya nani, sjui huyo sioi wenu atawaöngoza akna nani! Kwanza ccm mme2tusi, ha2itak ccm yenu mbona hamna hamskii...? Kwel nyie n hamnazo! Vilaza tupu, si msome alama za...
Mi sjaenda huko! Ila nikuulze minor question tu! Hiv huna kwako mpaka uende huko kwenye nyumba za wagen? Namwonea huruma huyo valentn wako! Pole sn kwa kutokua na kwako.
Ingieni kwa adabu la sivyo mtarudi kwenu! Hii ni Arusha kwa Mhesh Godbless Jonathan Lema! Njoni mkiwa wachafu mtarudi mkiwa safi na mmekwatuliwa fresh! Nastikitika tu kuwambia kua tayar tushafanya uchaguzi wa Mbunge, nae ni Mhesh Nassari, CDM ishamptisha, na raia wote washasema NDIYO apite...
Pole sana ndg yangu, ma frnd Fredy, Makumira 2me2pwa comptr science akuna ata m1 amechukuliwa! Mi namshkr Mungu nmepata job kwny NGO ya compassion ngaz ya ukurugenzi uku uku Arusha, so ualimu nmeuweka kando kwanza! Vp ujapata mchongo wowte uko? Tito.
Acha uongo ndg yangu, mi mbona ni mwenyej wa mitaa hyo na hakuna hyo mambo? Af ungejua ccm ilvochakaa mitaa hii, ungekaa kimya kabsa, kilala na makumira na usa river na mchai ndo usjarib kutaja ccm wala kuvaa kijan na njano! Nyoooo.... Mwone.!
Yaliyonenwa na Nabii TB Joshua wa Emmanuel Ministry wa Nigeria yameanza kutimia! Naomba kumunukuu "Nimeona nchi fulani East Africa inayotegemea kuwa na uchaguzi mkuu tr 30 octb 2010, nkaona chama pinzani kikishinda kwa kuwa na kura nyng kuliko chama tawala LAKINI chama hicho tawala kimefanya...
Anasema haiwezekan kulpa hayo madai eti kisa ni makubwa sana na hayajaingizwa kwnye bajeti, naomba nimwulze pinda japo najua hatojb!
Kwa hyo unataka watz wafe kwa kua hamwez kuwalpa, so wasubr mpaka bajet ijayo!
Hzo laki 2 mbil mlizojiongezea bungen nazo zmetoka kwenye bajeti ipi?
Ile 64 bil...
Hivi hayo anayoyasema yanatusaidiaje waTz? Sisi tunahtaji huduma, madaktar warudi hospital, bac! Yan utafikir anapiga soga na mama Tunu! Its serious and horible issue, plz tak it seriously!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.