Penye moshi pana moto aliyoyasema Rostam Aziz yanastusha wananchi lakini kuna mengi ambayo hakuyataja yanoyoihusu familia hii ya kifisadi ya Reginald na nduguye Abraham Mengi. Hebu soma taarifa hizi zilizozagaa kkwenye magazeti ya uingereza ambazo zinaiburura nchi yetu katika ushenzi wa ajabu...
Ndugu, zingatia kwanza kwamba Vatican ni nchi yaani State na ina mahusiano ya kibalozi na nchi nyingi ikiwemo ya kwetu Tanzania, Balozi kateka alikuwa Balozi wa Tanzania huko Vatican akiwa na makazi Bonn Ujerumani ( Kwa taratibu za kidiplomasia balozi aliye na makazi Roma Italia hawezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.