Wakitenganisha mawaziri wactokane na vyama matumizi yatakuwa makubwa na tutaanza tena kulalamika na huo tena utakua ni mwanzao mwingine wa matumizi mabaya ya pesa za umma,,na kwa mfano wa ANC ikumbukwe South A,,,ni nchi yenye nguvu kubwa sana kiuchumi so hata bajet yake inaruhusu...sisi hatuwezi...
Unajua huyu mama sio kwamba anajua kitu kuhusu hawa viongoz anaowasema..bali kwavile anajua TZ hakuna msafi basi ameona akilopoka huo upuuzi wake kwa vile viongozi wetu wengi sio waadilifu basi wakiona ujumbe wake watapunguza makali ya kumfatilia...lakini bado hatakuwa msafi hata km kamati...
Lakini pia ujue hata jengo ambalo linatumiak kwa huduma za hosptal ya bugando ni la serikali amabalo lilijengwa na serikali ya Israel chini ya Mzee wa kweli JULIUS K.NYERERE....Ambapo hata hili jengo halikuisha baada ya mwl kuwaona wa israel hawakuwa na nia njema na mradi huo wa hopspital...
Bugando sio ya Kanisa tu....unapaswa kutambua kuna kitu kinaitwa ''PUBLIC PRIVATE PARTNERSHIP'' hapa serikali hufanya kazi kwa kushirikiana na taasisi binafsi km bugando ampapo serikal huwapatia huduma maalum km hao wataalam ambao leo wamegoma na kuweka vitendea kazi chini au mezani au kwenye...
Nikweli zoom mnakuwa na hilo tatizo sana hata mie hapa nimejaribu ku apply lakini ikifika hataua ya kuingiza zile alama nikimaliza tu ili nitume najibiwa kwamba nimekosea,,,ktk hili inawabidi mkubali na mfanye marekebisho coz leo unawezaona kwamba upo sahihi lakin kumbe kuna kitu kimebadilika...
jaman msameheni huyu jamaa nadhani pindi mtu akipatwa na shida basi huwa anaweza hata kupoteza network hata kwa sali la 1+1=?? so wana jf nawaomba mmsaideni...
kwani wewe hapo uliposoma haujakutana na communication skills or...ndo kusema umetaabika kitaa hadi umesahau yote???? anyways ni hivi unashauriwa kabla haujamuweka referee wako unapaswa kumpa taaarifa juu ya maombi yako...coz kuna watu wengine akipigiwa cm au kutumiwa barua hawezi kuwa na...
sio kwamba wanashindwa au wanaficha kusema ukweli au kuwasikiliza doctaz kwa kutaka jf members...bali wanatunza kazi zao na watoto wao wapate hata kuimaliza elimu ya msingi.......
Na hata wafanyakazi wanaopangwa katika hizi shule wanaruhusiwa kwenda na begi tu ikiwa na nguo zao basi na hakuna mzigo zaidi ya huo....kila kila kitu ndani kawaka ndani .....so staff wote hupenda wapelekwe pale wale wa idara ya elimu hata afisa elimu wenyewe hutamani ktk hizo shule za mkono sio...
Jamani hii hali ya wananchi kuwa wanaingia migogoro na vyombo vya ulinzi na hata sasa kufikia hatua ya polisi kuwauwa raia sio halia njema hata kidogo inabidi utaratibu wa kuongea na wananchi utazamwe upya..
Nasema hili kwa kufanya reference ya mauwaji yaliyotokea jana katika kijiji cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.