Tatizo lipo kwa maafisa wa elimu na kamati za mitihani katika halmashauri kutowaambia ukweli walimu stahiki watakazopata katika kazi hiyo ambapo taarifa za kiasi cha pesa hutolewa baada ya wasimamizi kula kiapo cha kutekeleza kazi hiyo, lakini kikubwa ninachokiona ni serikari kuelemewa na mzigo...
Hawako fair in such uhamisho unaenda na malengo no bora hata wangetoa ahadi au taarifa ili kuwaweka waombaji wazi na waelewe cha kufanya, manake barua za uhamisho zikiwa kwenye faili hata nafasi za kusimamia, inset n.k zinaadimika.
Niko mwanza kwimba nahitaji kubadilishana na mwalimu aliyeko; njombe, iringa, moro, mbeya au ruvuma, idara ni sekondari, lengo ni kuwa jirani na nyumbani. Kwa aliye tayari ani PM au kama una information tujuzane pm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.