Siku hizi ndege ya ATCL ndio imekuwa ndege ya rais. Ile ya rais iliyo nunuliwa wakati wa Mkapa iko wapi?
Ndo hedge ya raisi hiyo Gulfstream G550 iliyonunuliwa wakati wa hii sio ndege ya ATCL, hii ndio ndege pekte iliyobaki inayomilikiwa na TGFA isiyo beba abiria wa kawaida zingine zote zinakuwa...
Mafuta yalikuwa exempted kwa sheria ya kodi ya ongezeka la thamani ya mwaka 1997 (VAT Act, 1997) ambayo haitumiki tena kwa sasa tunatumia sheria ya kodi ya ongezeko la thamani ya mwaka 2014 (VAT Act 2014 ) ambayo tumeanza kuitumia mwaka jana
Hii sheria mpya (VAT Act 2014) haijatoa msamaha...
Mheshimiwa waziri hana directly relationship na hiyo tender
1. Mkataba ni kati ya Lugumi na jeshi la polisi
2. Infosys na Mheshiwa ni two different person (refer to separate legal entity concept). Mheshiwa ni mmoja kati ya shareholders wa Infosys ambayo ina share holders zaidi ya wa nne
3...
Naomba msaada wa hotspot kwenye note 4 nikiturn on tethering Inaonekana na naweza kuconnect (mfano naweza connect computer from this note 4 lakini siwezi kutumia Internet kutokea kwenye note 4 japokuwa inaonekana na unaweza kuconnect)
ContractSave Account
ContractSave is an affordable, disciplined savings plan that can be tailored to suit specific needs. A compulsory, monthly debit order is required to fund the account. This ensures that saving is done regularly over a pre-selected period of time without giving in to the...
Kama unajali sana cost NMB wapo vzr na watakufaa kuhusu visa na masttercard kwa mtu kawaida haina faida yoyote mi nimekuwa na visa card 4rm 2010 na master card lkn sijawahi zitumia, fungua account NMB huta regret kwa makato ya ajabu ajabu
Ni course nzuri lakini sio saaana kama wanavyosema inahusika na mambo ya kurekodi au kutunza data za Geomatics kwenye system. For my advice ukichaguliwa course hiyo uombe kuhamia Information System Management ipo school moja na hiyo Geo.... lkn ile better than Geo.... kwakuwa unaweza fanya kazi...
Stanbic Bank named most customer -focused bank in Tanzania
Written by TIMES CORRESPONDENT
Friday, 28 June 2013 10:43
STANBIC Bank Tanzania has been named the most customer-focused bank in Tanzania,
according to latest survey released by audit and advisory firm, KPMG. According to the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.