Habari zenu jamani,naomba mnifahamishe tofauti za service ya CRDB ya sim banking na internet banking coz nimeenda kuomba form ya Internet banking jamaa akanipa ya Sim banking na nikimwambia anasema ndio hiyohiyo.
Habari zenu wakuu,nilikuwa naomba mnisaidie kuhusu hii service ya CRDB haswa pale kwenye log-in page yao,naomba niwaulize hivi username na password unapata ukishasubmit form yao au vipi?
Habari zenu wakuu,eti ukijiregister ebay pale kwenye "Postal code" unajaza nini,nataka nijue unajaza P.O.Box au kitu gani kingine....Thanks in advance.
Habari zenu,naomba mnisaidie kwa kuniambia ni jinsi gani naweza nikafix sehemu ya kusomea sim card ya Samsung Galaxy s3 kwani kuna pini zimechomoka au mnaweza kuniambia ni wapi wanatengeneza.
Jamani wakuu naombeni msaada kwani natafuta namba ya simu ya hawa dealers(Foneshack) ila nashindwa kuipata hivyo naomba kwa yeyote yule anayeijua ashare bac nami......Thanx in advance.(Foneshack wanadeal na simu)
Jamani kwa wale wanaomfahamu TB JOSHUA huyu mtu ametabiri vita kuu ya 3 ya dunia itakayohisisha iran na middle east vs America na Britain sasa Africa ipo katikati ya bara hizi na inaweza kuathiriwz vyovyote vile...naomba maoni yenu.
(Sorry for the topic name,nimekosea)Nina mdogo wangu ambaye ana aibu kupita kiasi utafikiri amerogwa yaani dogo anafikia point ya kuogopa hadi opposite sex na nimejaribu counselling bado haimsaidii yaani hapa nilipo sijui hata nimsaidieje.
Sasa huyu young master naye kawa mtume au?...eti anapredict the future...hata kama uwongo lakini siyo kihivyo bwana...mtu hawezi kuwa kuwa na talent zote hizo labda awe Genius.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.