Samsung ni bora...moja ya changamoto katika dry cleaner nyingi ni mota za mashine zinaharibka..hassa mzigo unapokuwa mkubwa...kama mablanket n.k uchukua muda mrefu kukaushwa..nakushauri ununue samsung angalau zinastahimili
Naomba nikuweke sawa kwanza dmkali..sio safai yote unatakiwa uende kwa spidi ya 40/hr au 60/hr..kuna sehemu maalum ndo unatakiwa uende ivo..kumbuka TZ sasaivi sio pori yote tofauti sana na zamani...kila baada ya km kadhaa ni lazima ukutane na kijiji au shughuli za binadamu zinaendelea.na ndo...
Kwa wale wakulima wazoefu wampunga naombeni ushauri juu ya kilimo ichi husuasani gharama zake kuanzia
kukodi shamba mpaka mavuno na storage kwa eka moja, vilevile maeneo muhafaka kwa kilimo hiki.
Nina uzoefu wa wilaya zote 3 jijini Dar es salaam, cha kushanganza wilaya ya Temeke imejaliwa kutengenezewa lami mpaka mitaani hususani Tandika lakini barabara zao ni vumbi tupo ukilinganisha na wilaya nyingine, yaani hazifagiliwi (maintenance)
Ni kwamba manispaa imelala, viongozi wazembe au...
Mkuu fikiria ishu nyingine tu ya kufanya , pale sisi tulikutana na mfanya kazi wa pale akatuambia tusipoteze muda wetu hizo nafasi zina wenyewe..nilichoka lakini ndo tutafanyaje nchi ni ya wanasiasi na familia zao tu!!
Nauza samsung portable laptop , unaweza charge kwa umeme au jua(ina solar panel) , RAM 1 GB, internal hard disk 280GB, pentium M, 32 bit, imenunuliwa miezi michache quality centre , sasahivi nauza karibu nusu ya bei iliyonunuliwa kutokana na matatizo ya kifedha, ni rahisi sana kuibeba...
Nauza samsung potable laptop , unaweza charge kwa umeme au jua(ina solar panel) , RAM 1 GB, internal hard disk 280GB, pentium M, 32 bit, imenunuliwa miezi michache quality centre , sasahivi nauza karibu nusu ya bei iliyonunuliwa kutokana na matatizo ya kifedha, ni rahisi sana kuibeba kwenda...
Sahii kabisa anachoshesema jamaa, KUBWA zaidi ni kwamba waganda hawajui kupika, pili waganda Hawajibani
kabisa katika kula..mganda hata awe masikini vipi lazima atakula vizuri tu bora atembee uchi lakini sio kaitka
menu atakula Katogo, samaki mkubwaa, chipsi, yaaani vyoote ivyo mlo...
Hili swali nilikuwa najiuliza kila siku, juzi tu nimemuuliza jamaa mmoja alikuwa na pesa sanaa siku za nyuma sasa
ivi yuko ovyo vibaya, sasa alinijibu ifatavyo...Mungu alituumba akatupa utashi, roho ya kujua mema na
baya..yaani Mungu katupa uhuru wa kuchagua nifanye lipi niache lipi, naweza...
Pesa kitu gani bana kaka, nimesoma hii kwa makini nimejua kinachokuuma ni kumgharamikia sana, toka kumosmesha mpka ahapo halipo, look...hata kama umetumia billion 1, aina thamani kabisa zaidi ya maamuzuzi sahihii wakati HUU uliopo sasa na unakokwenda, kumbuka maisha yetu WOTE ni full of...
Nilishangaa mwanzo mwisho hii ni uhuru day au Mandela day, hatukatai ndio ukubwa na umuhimu wa Mandela duniani lakini sio kipaumbele kwa siku ya leo, ingetolewa dakika chache kama 1 au 2 za kumbuka Mandela tena za kimya tuu kama premier league walivyofanya mechi za week end zote.
Binafsi nashangwaza sana na hii hali ya watu kuwa wanafiki sana, kama Madiba alichapwa viboko, aliteswa sana
kwa muda wa miaka 27 locked up almost third quarters of his life!! na bado akawasamehe waliomdhihaki , iweje
wewe leo mtu kakupora hako kapochi kako sababu ya matatizo yake...
Pole sana, najua umuhimu wa ivyo vitu kwako, kwanza next time jifunze uwe una scan copy ya vyeti vyako vyoote muhimu , plili hilo bag ulikuwa umefunga nyuma kwenye pikipik!? umebeba likadondoka usijue au ilkuwajekuwaje...?? eleza vizuri ili tupate mwanga wa kukushauri na kujaribu kuimagine jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.