Bro
Mbona Hasira
This is more personal zaidi kwako kuliko ata what u mean kusaidia music
Anyway,
We like ‘watumbuizaji’ sio ‘waimbaji’
We kaimbe huko kwenu sie tutafurahi Mjini na VIBE
Kama huli mali safi ni wewe kaka usituwekekwa shida zako
Halafu hivi kajala/paula nao ni mali safi,?
Muulizeni Mwana FA,inspector harouni, prof Jay zile pisi za getikali na masaki wameziimba muda wote ndo utajua malisafi ni ipi na taka taka ni zipi
Mimi nimemiliki Paso Kadhaa na magari kadhaa ya Engine ndogo
Haya ndo Mawazo Yangu
1. Passo speed ndogno + AC inakula mafuta kama kawa tena kwa kuwa ni engine ndogo inakula zaidi na inakosa nguvu
2. Kufa kwa engine ndogo ni kuisha nguvu, engine < 1000 cc ukiona hata ufanye nini nguvu...
Huyu Jamaa mbona kipindi chake cha Radio na Cha Tv they are all Lame.. yan vinaboa.. sijui mnapimaje utangazaji ila go and check yule Jamaa anaitwa Joni Jo .. contents zake ndo utajua kuna watangazaji
Lil Ommy bhanaa nadhan anajiona mkubwa kuliko.. while ni mdogo kuliko esp ukimeet nae in...
Mataka taka aya
My Take ya Taa
Taa zote za booster zinazouzwa mtaani sijui zima feni sijui angel Eye blah blah it is nothing compared na taa original zilizokuja na Gari..
Car designers hawajawah kosea..
Gari zina mwanga kama wa njano maana ndo rangi ambayo macho yetu yanaina well.. ukiweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.