Search results

  1. peace2007

    Wapenzi wa gospel songs tukutane hapa

    Amen rafiki. Ubarikiwe
  2. peace2007

    Ni kwa neema tu

    Amen..
  3. peace2007

    Ni kwa neema tu

    Kabisa mkuu...wamshukuru Mungu aliyewaokoa katika hili...
  4. peace2007

    Sam Mahela pongezi kwako, hongera kwa ITV pia

    Azam wao wako kibitoz bitoz zaidi.....kimayai mayai....suti na kujiremba kwa wingi.....kidigitali I mean.....ingawa yule dada wa Arusha alikuwa akijitahiditahidi! Ilimradi ITV na Azam TWO wametupa ladha tofautitofauti za coverage ya Uchaguzi...Hongera zao wote kwakweli!
  5. peace2007

    Kuangushwa kwa mawaziri na manaibu waziri tumepata somo?

    1. Chiza 2. Wassira 3.Kebwe 4. Kilango 5. Fenella 6. Mwanri 7. Nundu 8. Zambi
  6. peace2007

    Baada ya Uchaguzi Mkuu tujiandae kushuhudia mnyukano CHADEMA

    Utabiri wa mvua za El-nino ulisema zinaanza lini.....
  7. peace2007

    Orodha ya Majimbo ambayo CCM wameyapoteza mpaka sasa

    Sorry, hivi David Mathayo ni wa Same Magharibi? Si ameshinda tena?
  8. peace2007

    Mwanza - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Hivi hawa Mabula, wa Nyamagana na Ilemela ni ndugu au vipi? I'm just curious.......
  9. peace2007

    Saed Kubenea: Wanataka kutangaza matokeo ya Urais kwanza

    With what I'm seeing happeningnifah anything is possible under the Sun....
  10. peace2007

    Kipanya kanichana mbavu zangu usiku huu kwa katuni zake. Check hii hapa

    Watu wanazungumzia kujengamadaraja wakati watu wana njaa...kwani watu watakula madaraja...watu wana njaa...kweli si kweli....???? WATU: Kweliiiiiii....
  11. peace2007

    Ni mikoa ipi hadi sasa ni ngome ya CCM??

    Kibanda maiti
  12. peace2007

    Magufuli ametumia muda mfupi sana kuivuruga ngome ya Lowassa

    The king of copy and paste......
  13. peace2007

    Leo TANESCO mmetuweza

    Arusha ni hataree, naona TANESCO wana hasira na Arusha....
  14. peace2007

    Ester Matiku you are so beautiful

    Mkuu ingawa umeniwahi kupost, mimi nilishapeleka ka CV kangu nifikiriwe!!!!Nshakuwahi mkuu pole.....
  15. peace2007

    Mbwa ananyonya maziwa GRADE A

    Kabisa mkuu
  16. peace2007

    Mbwa ananyonya maziwa GRADE A

    Nakwambia hii imepitiliza
  17. peace2007

    Mbwa ananyonya maziwa GRADE A

    Hivi mtu anaanzaje kufikiria kumweka mbwa kwenye nyonyo????
  18. peace2007

    Mbwa ananyonya maziwa GRADE A

    Naomba dada zangu wa kibongo msiige hii, Baba na mtoto tunategemea hako kanyonyo...akipewa mbwa tena tushee Khaaaa!
Back
Top Bottom