Inasikitisha, ila makosa yanafanyika tuangalie yanatatuliwa vipi? Nafikiri Mh. Kitwanga anaogelea kwenye mfereji wa maji taka yato kayo chooni kwake mwenyewe.
Nyerere alikuwa na nia njema kwa Taifa letu na dunia na katika uongozi wake amefanya mazuri mengi lakini pia kuna makosa, kama ukiukwaji wa haki za binadamu na majeshi yetu huko Uganda. Walipora na hata kubaka kutokana na simulizi za wapiganaji hao. Saint no step too far, he won't if like this.
Kifo hiki kinasikitisha sana na kimelistua Taifa (nakiri sikuwanamfahamu marehemu)haswa kwa mchango wa marehemu kwenye ulimwengu wa filamu. Napenda kutoa salamu zangu za rambirambi kwa wafiwa. Lakini msiba huu unamwangaza mtawala wetu, hivi kweli kiongozi wa Taifa anapataje muda wa kutembelea...
[/B]"PCCB seizes multibillion illicit sugar
The Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) has impounded a consignment of contraband sugar worth Sh3.7 billion which an importer had sought to avoid paying tax for under the transit goods cover ."
From IPPmedia.com. Mwenye habari...
Akisisitiza umuhimu wa kumtanguliza Mungu kwa kila jambo, Lowassa alisema anamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kumpitisha salama katika wakati mgumu.
Namshukuru Mungu hata katika kipindi kile ambacho nilikuwa naandamwa sana, niliyaweza magumu yote katika yeye anitiaye nguvu, tuendelee kumtegemea...
Inatisha kwani kuna kila mbinu ya kumtoa Sitta na hii ni siku mbaya ya demokrasia Tanzania, Mr Visenti anadai Sitta alikuwa na maoni yake na anachafua watu? Kinyaa gani hiki? Kwa hiyo hakuna EPA, Radar, Richmond na mikataba batili ya madini. Hayo ni maoni ya mtu aliyekuwa akiipa serikali the...
Wadau tuache kumjenga huyu mtoto wa mtawala, kwani hakuna habari mbaya kila habari ni nzuri tunavyozidi kumtajataja ndiyo tunavyomuinua kisiasa bila kujua hata kama tunamtaja kwa mabaya. Ikumbukwe Jamii Forum inaushawishi mkubwa nchini na mara nyingi magazeti ya kitaifa wanainukuu. Binafsi...
Muheshimiwa Seif Sharif Hamad historia itamkumbuka kama mzanzibar aliyechangia kwa kiasi kikubwa amani visiwa, hii tofauti iliyopo kati ya CCM na CUF ikumbukwe ni ya kihistoria na kwa njia hii tu ufa unaweza kuzibwa SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA. Itakuwa bora Dr Shein akimpa uwaziri kiongozi na...
Thank God, watanzania wa arombo wamemsimamisha kwa manufaa ya umma, ilikuwa inatia kinyaa wengine bado...Slaa hata kama hatashinda amelifanyia Taifa hili kazi nzuri sio tu kuwaanika walaji wakubwa wa mali za umma bali kuamsha ari ya siasa tangu rekodi ilipowekwa mwaka 1995.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.