SIYO SISI WANANCHI TU, BALI HATA Baba wa Taifa Mwl Nyerere CCM INAMUONA HAKUWA NA AKILI ENZI ZA UTAWALA WAKE KWA KUWEKA Maadili Ya Viongozi NA Azimio La Arusha. NAOMBA AJE MWANAccm YEYOTE AKANUSHE KWA HOJA HAPA KUWA JKN ALIKUWA NA AKILI PUNGUFU ZAIDI KULIKO CCM YA LEO INAYOKATAA Uadilifu, Uwazi...
KWA TAFSIRI YA KISIASA KWA MUKTADHA WA TANZANIA: msukule ni mtu yeyote anayetetea kwa nguvu sana siasa zote chafu zinazofanywa na CCM dhidi ya umma wa walala hoi wa nchi hii.
MLETA UZI NI MFUASI WA ZZK NA KIKUNDI CHAO CHA ACT. Angekuwa ni mwanachama mzalendo angetumia njia za kiitifaki kuwasilisha lalamiko lake kwenye mamlaka ya juu ya chama
Gazeti la Tanzania Daima kupitia ITV Magazeti asubuhi hii limesomwa na kuoneshwa kicha cha habari kwamba "UKAWA na CCM walimwa barua". Huku Songea hatupati mapema magazeti hayo, hivyo mwenye nakala ya gazeti hilo atubandikie hapa tuone ni mamlaka ipi imetoa barua hiyo kwa ccm na UKAWA.
INAVYOELEKEA KIZAZI CHA AKINA YUDA ISKARIOTI WAMEJAA SANA MWAMBAO WA ZIWA TANGANYIKA. Mh Lissu ni kielelezo tosha cha uzalendo na umakini wa CHADEMA na UKAWA kwa ujumla
unapokuwa na mume aliyelaaniwa,
mume asiyeheshimu mawazo ya mkewe, dawa yake ni talaka tatu tu. Ndoa hii imeishiwa mapenzi ya dhati baina ya wanandoa wenyewe ugenini, watakaporejea nyumbani kila mmoja atakusanya vilivyo vyake na kuihama ndoa hiyo, yetu macho na masikio
HATA Malinyi NA Mtimbira BADO KIDOGO OFISI ZA CCM ZITAFUNGWA RASMI KWAKUWA HADI SASA MAKADA WAKE WAMEKERWA SANA NA MWENENDO WA MBUNGE WA ULANGA Dr.Haji Mponda KWENYE BUNGE LA KATIBA
NA NDIO MATOKEO YA SHERIA MBOVU YA MABADILIKO YA KATIBA KAMA ILIVYOSHINIKIZWA IPITE NA UWINGI WA WABUNGE WA CHAMA CHAKO CHA KIJANI CHINI YA Wassira NA Werema KWA NIA YA KULINDA MASLAHI YA MTAA WA Lumumba NA SIYO YA Taifa
HATA WAKENYA WANA NDUGU ZAO KULE America au USA Mfano Rais Obama LAKINI BADO HAYA NI MATAIFA MAWILI TOFAUTI. TANGANYIKA IKIREJEA HAIMAANISHI HAWA WAPEMBA WATAFUKUZWA
NASUBIRI KUSIKIA HOJA NZITO, NA SIYO MIPASHO NA KEJELI LEO KWENYE HOTUBA YA MR.DHAIFU KWENYE BMK DODOMA. MARA ZOTE TANGU MWANZO HOJA ZETU TUNAODAI TANGANYIKA YETU NI NZITO NA ZINA MASHIKO YA KIUTAFITI WA KISAYANSI ZAIDI, HOJA ZA WANA-CCM WALIO WENGI(wapinga Tanganyika yetu) NI ZA HOFU, MAZOEA NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.