sina uhakika kama kafulila kafulia ila nachodhani NCCR hawakutakiwa kukata kijanja baada ya kuona dogo kaharibu kama kijana wao wlitakiwa wamweke chini wamfunde na wampe second chance na muda wakumsoma nyenendo zake ma sidhan kama kafulila kwa hali aliyokuwa nayo siku ile angepata msamaha...
hilo swali me mwenyewe nilijiuliza sana sana bt nikaamua kujipotezea mwenyewe nikijua wanajf watanipa majibu cku moja ila naona leo naellekea kulikosa mana bigirita hajapendezwa nalo ni sawa kabisa acha tumhifadhi mwenzetu then tutajua.
watanzania msimtegemee mungu atende muujiza wakati mnaakili na nafsi hai kuweza kutambua nn cha kufanya watanzania wenzangu tuamke tufanye kitu kwa ajiri ya mama yetu tanzania anayelia kila siku kwa mateso ili hali vijana wake tupo tunamtegemea mungu afanye wakati tumelala. ni wakati tuamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.