Tafakari yangu ni hii: uchaguzi wa mwakao huu unachangamoto kubwa mno na ushindi siyo dhahili. Hapa kama Membe mnamtaka agombee 2025 msije mkamuharibia maana uchaguzi huo utakuwa ni rahisi sana kushinda. CCM haitakuwa na mwenyewe wkati huo. Hivyo karata lazima zichangwe vizuri.
Unajua nimetembelea mifugo yangu sasa kuna ndama wamezaliwa identification inakuwa shida mno nataka kila akizaliwa namuwekea namba. hii itanirahisishia kuweka kumbukumbu sahihi hata kwenye database yangu. hata akifa wakipiga simu nijue ni namba ngapi amekufa.
Ndugu zangu kama kuna mtu anajua wapi hapa Dar napata tags za kuweka ktk masikio ya ngómbe for identification na kile kifaa chemyewe cha kuwekea hiyo tag ktk sikio. natanguliza shukrani tena.
Lusungo, Ahsante kwa uzi huu na kwa uzalendo huu.
Kwa wale ambao wanauzoefu wa migodi ya Tanzania please msing'ang'anie humo Geita, Kahama, buly... tafuteni kutoka kwenda nje ya mipaka ya Tanzania kama expat tuiletee nchi fedha za kigeni. Watanzania wanaheshima kubwa Congo DR, Zambia, Senegal...
Ni yale yale na uchumi ni uleule na nadhani sasa hivi imashaanza kupaa tena iko around 10-13.
Zaire walipunguza zero 3 ikawa ktk single digit lakini sasa hivi tena 1USD=1200CF
Mimi kama Mtumishi,
Kwa Muheshimiwa Rais John Pombe Magufuli, haya ndiyo niliyofunuliwa na nikuombe unitegee sikio.
Ulitangazie Taifa zima kuwa katika hali ya maombi ya nchi nzima na Maombi haya yawe ya wiki moja na ya watu wote wenye mapenzi mema na nchi yao na yawe ya kufunga walau saa 12...
Tanzania yangu ilifika hatua mbaya sana, Rais yuko 100% sahihi kulingana na mmoja wao kati ya waliosimamishwa anayejenga gorofa kule bonyokwa na haliendani na kipato cha mtumishi wa serikali
Watu watajawa na furaha, watapendana, watatambuliwa kwa upendo wao kimataifa, watapenda na kujivunia utaifa wao, watategemewa africa na duniani kwa kuleta amani na haya ndiyo matokeo yake:-
1) Viwanda vya magari, mitambo, mashine mbalimali vitabuniwa na watanzania na kutengenezwa kupitia...
3) Elimu ya ujasiliamali itatolewa kwa wingi zaidi kuanzia vijijini hadi mjini, runinga zitarusha program maalumu kwa wajasiliamali na utumishi bora wa serikali, miziki na maigizo yasiyo na tija itapewa masaa machache kabisa ktk kila runinga irushayo matangazo Tanzania.
4) Uanzishwaji wa viwanda...
2) Baada ya haya uyaonayo atatokea Rais atakayeifanikisha nchi ya Tanzania kuwekwa ktk ramani ya dunia hii ki-uchumi, ki-siasa na ki-michezo
Niiuliza: Ni wakati gani haya yatatokea? Si muda mrefu,
Nikauliza tena: mwaka gani? Hakuna haja ya kujua mwaka!
Nami nikaendelea kudadisi: Je mimi...
Mimi Yohana mfungwa wa Kristo nilipokuwa ktk kuomba niliona yafuatayo kuhusu nchi yangu Tanzania;
1) Haya uyaonayo leo ktk siasa ya tanzania ni kivuli na mhimu sana kwa mambo makuu yajayo; maandamano na malumbano yanaamusha na kufundisha jamii iliyokosa elimu kwa ajili ya mambo yajayo..... acha...
Kidato cha ngapi mzee?
Ada siku hzi kwa kweli ni tatizo kubwa dar na shule zinazofaulisha saaana bila ya 3.5m mtoto hajasoma vinginevyo ni kwa akina Kayumba. Inaumiza sana.
Chukua muda kusoma hii habari ingawa in ndefu (vumilia) halafu utoe maoni inafanana vipi na ile ya Babu wa Loliondo AU inatofautiana vipi
George Washington Carver (1864-1943), was an agricultural chemist of international fame who revolutionized the economy of the south by introducing hundreds...
Ndugu zanguni Watanzania kuunganisha nchi ni wito wa wakubwa wa dunia hii (western).
Sababu kubwa ni soko la bidhaa zao (rejea moja ya sababu ya ukoloni kuja si soko), wanataka mkiunganisha nchi kama kampuni ilikuwa inafanya shughuli zake Tanzania mfano Barrick isiwe na kazi ya kuanza...
Mheshimiwa, $10.7bn ni kwa Zain Africa siyo Tanzania pekee, hii in-include Zain Zambia, Kenya, Uganda, Gabon, DRC, Congo, n.k
Pia Waziri anasema dili halijaafikiwa bado.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.