Pole sana, kwann watu mnakuwa wagumu kuukubali u kweli? wachaga wangekuwa wababuzi kama unavyodai hakika wasingekuwa na maendeleo kamwe.
By the way polen sana mnaoumia kwa kuambiwa ukweeeeeeliiiii
Hongera mwaya, wengi hawana mapenz ya kweli, ni wachache wenye mapenz kama hayo uliyopata.
Maana some times you can find TrueLove but no money wadada wengi hawavumili ndo maana kika kukicha utasikia wanaume waongo kumbe tunataka wenye note....
Sijui imekaaje ila kwa mtazamo inaweza kuchangia kwa asilimia kazaa kupunguza wapenzI. Mfano ukiona tayari kuna mtu ana coment kila mara 'Umependeza mke wangu / mume wangu, sijui kama mwingine anaweza kuingia kwenye uhusiano huo bila kuhoji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.