Watanzania msiwe wanafiki bila chadema kumbukeni mngekuwa wapi bila chadema tena nawaambia wakumuogopa ni mungu tu tuwe imara tusiwe wanafiki . Mtu mwenye msimamo anaeshima kubwa kwenye jamii kuliko mnafiki.
nimechoshwa na tabia ya watu kulalamika wakikosa alafu watu haohao wakipata wanasahau walikotoka mfano siamini kama jeshi ni kitu cha kukosa kama mtu unavigezo
mimi sioni kama ni kweli vitisho dhidi ya wapigania haki kwa watanzania vinasaidia nafikiri avitasaidia kwasababu watanzani wanayasikika yanayoendela na huu ndio wakati wakushikamana kupinga kikamilifu vitisho dhidi ya wapigania haki kwa watanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.