Members, mie pia nimeshatabiri siku kadhaa kuwa ni EK sasa. Ila sipendi sisiemu wapate hilo jimbo. CDM wamtafute mtu muhimu wa kuchukuwa ili Arusha iwe 3/4 kwani kwa sasa sisiemu wana Ngorongoro,Longido, Monduli, Arumeru magharibi na Arumeru mashariki iliyoachwa wazi ingali CDM wana Arusha mjini...
Mie naona si sahihi kusema lazima ashiriki kwani rais ni wa Watanzania wote lakini hawezi kushiriki kila msiba. Huwa kuna kuwakilishana! Spika na naibu wake,rais na makamu wake inakuwaje?
Mie nafikiri ccm imekosa mwelekeo sasa! Kuna kahoja wana JF walisema JK amemfanya kila mtu ajione anaweza kuwa rais wa TZ. Mimi naona kwa swali lako la kuwalinganisha EL, membe na Nyalando, EL ni bora mara kumi mara elfu.
Mie naunga mko hoja iliyowahi kutolewa mwaka jana kwa JK ni wa NEC-uchaguzi na ANATAWALA akiwa ikulu wakati Dr.Slaa ni rais wa wananchi na ANAONGOZA akiwa nje ya ikulu
napenda tu kuweka kumbukumbu sawa kuhusu hoja yako. EL kwanza hakufukuzwa na JK.Nyerere. Wakati huo JK.Nyerere hakuwa rais bali Mwinyi ndiye rais wa Jamhuru ya Muungano wa TZ. Kwa hiyo kama kufukuzwa basi ni Mwinyi. Pia hakufuzwa bali alipandishwa cheo kuwa waziri mdogo ktk ofisi ya waziri mkuu...
Nakubaliana 100% kuwa huku ndugu siyo Waziri Mkuu Mstaafu. Na siyo yeye tu hapana! Mpaka sasa tukubali kwamba kuna tofauti kati ya KUJIUZULU na KUSTAAFU ( resignation and retired). Kwa mawaziri wakuu walio hai hadi leo tukubaliane kwamba waliostaafu ni Sumaye; Salim; Msuya na Warioba. Kwamba...
Mimi nafikiri kwa sasa mgt ya UDSM wanakwenda pabaya,wanalalamikia hao wanafunzi si wapewe? Wasitumie misuli kutatua tatizo la kutumia akili. Mtu anaposema jambo hadharani ni kwamba anatafuta audience.
MGT tumieni akili za kuona mbali msiwe wanasiasa wa kutazama 5years forward.
Hello members of the HOUSE good evening! Thank u very much for welcome me to this house of Thinktanks.
Based on the matter at hand, this people are paying using our money hence its our legitimate right to know how are they being paid. So bring their scales on board for discussion
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.