samahani wakubwa naomba nipate japo ujuzi na utaalamu wanaotumia hawa watu wanaoibia benki mbalimbali hapa nchini wanatumia njia gani maana naona hata benki zipo kimya zinaogopa hao watu,
kwanza mpaka hapo umeshashindwa vigezo vya kuwa usalama wa taifa , chochcote kile kinatakiwa kiwe moyoni mwako peleleza kimya kimya utajua kila sehemu na makao yao makuu, mtihani wao wa kwanza ndio huo.,.,.,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.