long live Mh Lema mradi wa kaloleni usiruhusiwe kuendelea Arusha ndipo azimio la maadili lilipitishwa tuenzi AZIMIO LA ARUSHA kwa kukataa uwekezaji huu na mingine yenye sura ya rushwa na ufisadi Daima tusi mkubali meya huyu feki atekeleze azma ya hawa manyangau na mabeberu weusi wa nchi hii
hakika wakazi wa Arusha tusilaze damu Hawa sisiem wamesha zoeya kujifanyia mambo yao kwa manufaa yao. wamezidi kuuza na kula dili ya ardhi Mfano ni meya wa kipindi cha 2005-2006 alikuwa diwani wa kata ya kimandolu huyu jamaa aliuza kiwanja cha wazi pale Ngaranumbe a.k.a Kitiengare hakika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.