TAMWA ilikosa mwelekeo wakati wa uongozi wa huyu mama wa kichaga Bi. A. Nkya. Mama huyu alitumiwa kisiasa na CHADEMA kwa sababu ni mchaga,alitumia mwamvuli wa TAMWA kuisema Serikali huku akiijenga CHADEma "shame on you Mama".muache akafie mbele na mungu amlaani huyu mama atafulia milele.
Huyu Mtei ana matatizo ya Udini pamoja na ukabila,kimsingi unapotaka kutoa tamko kama hili lazima ufanye utafiti kwanza kabla ya kuanza kulaumu.angeanzaza kutafuta data za uwiano wa kidini wa baraza la mawaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi,wakuu wa mikoa na viongozi wengine wote ambao...
Afadhali awahamishe, wachaga wakikaa sehemu sehemu moja wanakua na ubaguzi sana. Ni vizuri RAS awatawanye katika mikoa mengine, waende Sumbawanga,Lindi,Kigoma na sehemu nyingine za mbali wakajichanganye na makabila mengine.keepm it up Mkuu wa Mkoa.
Tangu afakamie ile chai na juice pale Bomani amepoteza direction kabisa, mambo ya kujifanya kimbelembele yamemponza na asipoangalia atakuwa kama Mwakyembe.
Lowassa hafai kuwa rais,ni fisadi,mbinafsi, mbaguzi na dikteta. akipata urais atauwa upinzani,hakuatakuwa na uhuru wa habari,atawagawa watu kutokana na vipato na ukabila.ofisi zote za serikali zitajaa watu kutoka kanda ya kaskazini, na watoto wa wakulima wasahau kupata ajra yeyote serikalini.
Dk Mwakyembe asitegemee hata siku moja kwamba serikali itaiweka hadharani ripoti ya ugonjawa wake,mimi ninavydhani afya ya mtu ni suala binafsi,kwa mfano mtu anokuwa na HIV hivi ikijitangaza itakuwa ni kosa? namshauri aiweke wazi ugonjwa unaomsumbua pamoja na recommendation za madaktari ili...
Kwa kweli Tendwa hajui analolifanya, kama hoja yake imeegemea kwenye gharama za uchaguzi na kunyimwa kwa haki za kuwakilishwa kwa wananchi hata Rostam alijiuzulu baada ya kuona anataka kufukuzwa ccm. kwa mtazamo wangu naona jambo hili linafanana kwa pande zote na hili la Hamadi Rashidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.