Hivi karibun kumeibuka malalamiko mbal mbal kutoka kwa baadhi ya wasanii wakidai kunyonywa na baadhi ya mameneja wao kwa mfano msani kapiga show ya milion moja na yeye anapewa laki1 je ni haki hi na ndio maana wengine wameamua kuanzisha makundi{magenge} ya kudai haki zao kwa mfano ant virus
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.