Masturbation is a common activity. It’s a natural and safe way to explore your body, feel pleasure, and release built-up sexual tension. It occurs among people of all backgrounds, genders, and races.
Despite the myths, there are actually no physically harmful side effects of masturbation...
Itapendeza kama tutaweza kutoka na platform nzuri na covenient kwa watu kuweza kuchangia,diaspora can do that i believe,we just need mobilization tu na ndio viongozi walichoomba,tufanye sisi wenyewe huku hiyo mobilization na mfumo mzima then tuwape wao feedback,na mtu wa kuwasiliana nae...
Naendelea kuchukua mawazo then nitaya wasilisha kunako husika,pasco lowassa nakushukuru sana mkuu,mwanakijiji wengi bado tuko pamoja kwenye tank la fikra ukiacha wenzetu kina kina makonda,bashe,kafulila na wengine waliopata teuzi mbalimbali
Watu mnaoipenda chadema mlio nje hususan Marekani mnatakiwa kukisaidia chama kwa kufanya fundraising kukisaidia chama kulekea kwenye uchaguzi, nilizungumza na kiongozi mmoja alinipigia akiniomba nisaidie kufanya mobilization jukumu ambalo kwangu peke yangu naona ni gumu ndio maana nimelileta...
Kiranga,
Ndio ustaarabu, kama marekani,rais hata kama kichaa nchi inaenda sababu urais ni taasisi kwa nchi zilizostaarabika,akishachagulia akaapishe wote mnapaswa kumheshimu mpaka Amalize muda wake
Lazaro Nyalandu .
"Watanzania jitokezeni
Twendeni tukadai katiba mpya,tume huru ya uchaguzi na demokrasia .
Muda ni sasa hakuna kusubiri kesho"
Too late
Hilo tungepata tume huru ya uchaguzi ukawa si wangeshinda bara na visiwani then wangeunda wanayoyataka? Busara haikua kuikataa katiba yenye tume huru,matokeo kuhojiwa mahakamani na rais kutangazwa baada ya kushindwa 50+%,ukiwa na mwiba makalioni na unyayoni busara inaelekeza utoe kwanza mwiba...
Swali fikirishi...hivi kwanini wapinzani ukawa waliikataa ile katiba ya bunge la mzee six sam sitta iliyokua na haya machache ya msingi atleast....
1:Tume huru ya uchaguzi
2:Matokeo urais kuhojiwa mahakamani
3:Mgombea binafsi
4:Rais kutangazwa mshindi lazima apate 50+% ya kura zote za urais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.