Jamaa mmoja alihudhuria msiba,baada ya kuingia msibani tu alianza kulia kwa nguvu zote, baada ya muda mchache alianza kulia kwa staili ya kutingisha mabega, ikabidi jamaa wamuulize vp tena kaka mbona kimya, jamaa akajibu nimeweka vibration, watu wote hoi msiban.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.