Search results

  1. I

    Maoni yangu kufukuzwa kwa vijana 854 wa JKT

    Nondo Hapa kumbuka unaongelea jeshi. Hiyo ni amri na hakuna kuibatilisha. Vijana walijisahau kuwa wako jeshini,walifikili wako shule au vyuo. Huwezi kuleta mgomo jeshini halafu ionekane sawa! Jeshini hakuna kuangalia nini ulifanya siku za nyuma. Amri itokayo mwisho ndo uitii. Waache warudi...
  2. I

    Uchaguzi 2020 Lissu: Magufuli usidanganye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki

    Hizo ndo hoja,maana tuliaminishwa kuwa tunaweza kwenda benki na kupewa mikopo
  3. I

    Uchaguzi 2020 Lissu: Magufuli usidanganye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki

    Kasema kutoka serikalini,huko hata bila kitambulisho unakopeshwa tu
  4. I

    Uchaguzi 2020 Lissu: Magufuli usidanganye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki

    Hata kutumika kukutambulisha wakati wa kumwekea mtu dhamana tu hakifai
  5. I

    Uchaguzi 2020 Lissu: Magufuli usidanganye, kitambulisho cha biashara ndogo huwezi kutumia kukopa benki

    Sio kuombea mkopo benki,bali hata kufungulia tu akaunti benki hakina sifa.
  6. I

    Nani zaidi, musabe schools au wizara ya elimu?

    Hawa dawa yao namba muhula ujao aimarishe shule za serikali ziweze ushindani ili hawa jamaa shule zao wasome watoto wao. Serikali inao uwezo kabisa wa luboresha shule zake zikaweza ushindani halafu sasa tuwaone na dharau zao.
  7. I

    Nani zaidi, musabe schools au wizara ya elimu?

    Huko Mwanza jamaa wanajiona wako sayari tofauti na Dunia,wana mbwembwe za jirani na Uganda. Na kweli uko sawa,wakatoliki hata hawana shobo,wao wako kiacademic zaidi,jamaa hawa wako kuwa wa kwanza,mtoto wa darasa la saba. anafundishwa hadi sylubaa ya form one
  8. I

    Nani zaidi, musabe schools au wizara ya elimu?

    Nalo neno Sema kwa sasa sio rahisi,ila kwa next year hawa tutawaachia shile lao wasomeshe watoto wao. Maana hata kuangalia kuweka ahueni ya kulipa kwa phase hawaelewi na ni lazima ulipe yote ndo mtoto apokelewe.
  9. I

    Nani zaidi, musabe schools au wizara ya elimu?

    Ujue hii ni business sawa na biashara ya basi Mimi abiria nalipa nauli kwa safari. Wewe mwenye basi una wafanyakazi wako,kama safari imeahirishwa mimi msafiri nauli yangu haitumiki na itatumika tu pale safari itafanyika. Sasa kama safari imesogezwa mbele miezi mitatu mie msafiri nahusika vipi na...
  10. I

    Nani zaidi, musabe schools au wizara ya elimu?

    Shule ya wababe hatari Ngoja tujipange tu kutafuta shule za wenye lugha za biashara na concideration. Maana wao MUSABE tu ndo corona wanaitumia kama ngazi ya kuongeza kipato chao
  11. I

    Nani zaidi, musabe schools au wizara ya elimu?

    Cost zote ni kwa wazazi,printing and teaching
  12. I

    Nani zaidi, musabe schools au wizara ya elimu?

    Kweli hili ni balaa,hakafu ukipiga simu kwa muhasibu anavyojibu ndo unachoka kabisaa eti hiyo ni balance ya wakati watoto walikuwa nyumbani! Upuuzi kabisa.
  13. I

    Nani zaidi, musabe schools au wizara ya elimu?

    Sio kulalamika,shule zilifungwa ikiwa imebaki kama wiki shule zifungwe,watoto walapewa invoice kama kawaida,shule zinafunguliwa wazazi wanatumiwa ongezeko la 300,000 toka invoice waliyopewa watoto! Hiyo ni nini kama sio uhuni? Kuchelewa kufungua kunafanya ada ipande? Uhuni mtupu wanafanyiwa na...
  14. I

    Masele Mbunge wa Shinyanga mjini uliyataka mwenyewe!

    Itakuwa maajabu sana,sijui tunahitaji aina gani ya wabunge...Masele ana misimamo,anasimamia anachokiamini haburuziki sio muumini wa kugonga meza,sasa mbunge wa aina hii kama hatakiwi ni aina ipi tunaihitaji?
  15. I

    Nani zaidi, musabe schools au wizara ya elimu?

    Hii shule wahuni sana,wakiulizwa ada imepanda kiaje wanadai masaa yameongezeka! Kinachonishangaza ni hivi ada ya shule hii inalipwa kwa siku au kwa mihura? Na kama waziri mwenye dhamana katangaza hadharani kuwa ada zisipande na wazazi walipewa ada iliyokuwa ikitakiwa kulipwa muhura ambao...
  16. I

    Magufuli awe Rais wa kudumu ila Bunge lifutwe

    Ukiangalia hii hoja inatolewa zaidi na wanufaika..." Tutamlazimisha atake asitake...." Hapo mtu unaweka nukta,unaelewa hii hoja sio majaribio bali ilshafanyiwa kazi bado endorsement tu.
  17. I

    Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

    Siku kukiwa na tume ya uchaguzi tutaona mengi sana
  18. I

    Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

    ITV na Azam ni local vimeogopa ila international kama BBC na VOA vimerusha kama kawaida
Back
Top Bottom