Search results

  1. Tumaini Makene

    Ulinzi wa Rais: Ndani ya nchi vs Nje ya nchi

    Umeweka vizuri. Sijawahi kuelewa kwanini kuna watu wanahoji au wanatamani ulinzi wa rais uwe mdogo au mwepesi. Huwa sielewi hasa malengo ya fikra hizo kwa kweli.
  2. Tumaini Makene

    Wakati tukikaribia kuitangazia dunia, What is Tanzania: The Royal Tour?

    Nimekusogezea kabisa hapa [emoji116] “The U.S. market debut, which targets primary and secondary market sources (USA, UK, Germany, Italy, France and Spain, Netherland, Canada and Australia respectively) will be followed by two other similar launch events in Dar es Salaam (April 28) and Zanzibar...
  3. Tumaini Makene

    Wakati tukikaribia kuitangazia dunia, What is Tanzania: The Royal Tour?

    Mkubwa maliedo usiuzike. JF ni sehemu ya kujielimisha kwa maarifa na taarifa. Ukisoma vizuri hapo kwenye para ya pili nimejaribu kueleza kwa kadri ya uelewa wangu, kwanini inazinduliwa (kwanza) US (New York na Los Angeles). It’s all about business mindsets mkubwa. Soma first and second lines na...
  4. Tumaini Makene

    Wakati tukikaribia kuitangazia dunia, What is Tanzania: The Royal Tour?

    Asante Kamaradi. Obligado camarada, gracias camarada. Siempre para jamás, for ever and ever United Republic of Tanzania, the land of Zanzibar, Kilimanjaro and Serengeti.
  5. Tumaini Makene

    Wakati tukikaribia kuitangazia dunia, What is Tanzania: The Royal Tour?

    Chief Pascal Mayalla, napokea hayo kuwa ni compliments kutoka kwa kaka mkubwa na senior. Asante. Kila mwenye kuweza kusogeza mchanga au jiwe au hiki au kile, afanye hivyo, tujenge ustawi wa JMT ambayo ni moja tu!
  6. Tumaini Makene

    Wakati tukikaribia kuitangazia dunia, What is Tanzania: The Royal Tour?

    Asante mkubwa. Pamoja. Kabisa. Umenena kitume, kwa ajili ya taifa na nchi yetu. Kuna Jamhuri ya Muungano wa Tanzania moja tu. Tunao wajibu wa kutimiza.
  7. Tumaini Makene

    Wakati tukikaribia kuitangazia dunia, What is Tanzania: The Royal Tour?

    Mkuu sijapotea…ndo kama hivi tupo hapa kwenye jamvi letu na wanabodi kama wewe [emoji851]! Viti gani tena hivyo mkuu unanishtua! Asante sana. Iwe heri sana na kwako pia.
  8. Tumaini Makene

    Wakati tukikaribia kuitangazia dunia, What is Tanzania: The Royal Tour?

    Umewahi kuona au kusikia nukuu ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kuhusu umuhimu wa maliasili, rasilimali hizi na utalii?
  9. Tumaini Makene

    Wakati tukikaribia kuitangazia dunia, What is Tanzania: The Royal Tour?

    Mamlaka zimeshasema zinachunguza tuhuma na madai ya tukio hilo la kusikitisha. Wakati tukisubiria hatua zinazoendelea, ni vyema kutokubali kuwa swayed na hizo allegations kwenye agenda zenye maslahi ya taifa.
  10. Tumaini Makene

    Wakati tukikaribia kuitangazia dunia, What is Tanzania: The Royal Tour?

    Mkuu nilidhani labda utatafuta mahali pa Kichina au Kikorea au Kijapani au Kimalaysia au Kisingapore…maana hilo jina lako pia si la Kiswahili [emoji16][emoji1783][emoji851]🫣[emoji2960]
  11. Tumaini Makene

    Wakati tukikaribia kuitangazia dunia, What is Tanzania: The Royal Tour?

    Asante mkubwa. Tunafanya kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…na Kazi Iendelee kila mmoja mahali kwa mchango wake chanya. Tunasonga.
  12. Tumaini Makene

    Wakati tukikaribia kuitangazia dunia, What is Tanzania: The Royal Tour?

    WHAT IS TANZANIA: THE ROYAL TOUR? It is a much-anticipated television program recorded in Tanzania between August 2021 and early September 2021, which is scheduled to be officially launched in April 2022, starting with the U.S. market in New York (April 18) and Los Angeles (April 21). The U.S...
  13. Tumaini Makene

    The readings I read...vitabu nilivyosoma mwaka 2021

    Hapana! Hakina ushari. Kimetumia tu maneno haya haya tunayoyatumia kila siku, ila tu tutajitahidi kuyaweka kwa lugha ya kibeberu [emoji16]! Unless iwe tu kwamba ule msemo wa ‘the pen is mightier than…”
  14. Tumaini Makene

    The readings I read...vitabu nilivyosoma mwaka 2021

    Chief Pasco Sina uhakika watu wangapi wanajua kuwa nikiwasiliana na wewe ni muhimu nitangulize neno ‘Chief’ as a respect to seniority in the profession. Asante sana kwa ukaribisho kutoka kwako mwanabodi mzoefu na mwandamizi sana hapa. Ni kweli niliandimika kwa kuandika, lakini si kusoma...
  15. Tumaini Makene

    The readings I read...vitabu nilivyosoma mwaka 2021

    Ooh! Asante sana mwanabodi Mpekuzi Tanzania. Glory be to God.
  16. Tumaini Makene

    The readings I read...vitabu nilivyosoma mwaka 2021

    Hongera sana. Kila la heri. Nitajialika kuwa mmojawapo wa wahariri [emoji1783][emoji1783]! Sijui nitasaidia kitu hapo with experiences from the field [emoji2960][emoji87]
  17. Tumaini Makene

    The readings I read...vitabu nilivyosoma mwaka 2021

    Asante kwa compliment kuhusu jina la kitabu ninachoandika; Die or Survive, Make or Break, Crash or Win: The Year That Was
  18. Tumaini Makene

    The readings I read...vitabu nilivyosoma mwaka 2021

    Naweza kujaribu kukutumia PDF ya Fixing Failed States. Hiyo ninayo. Ni kati ya vitabu vilivyonilazimisha kusoma soft copies. Sipendelei sana na kimsingi zinanipatia ugumu kiasi fulani. Napenda hard copies sana. Nikishindwa hapa muda huu naweza kukutumia mapema asubuhi. Unipatie njia ya...
Back
Top Bottom