Hahahahahaha! Sidhani kama Katunzi anazitaka mali za Familia kwa style ya kukomaa na wosia!.
Mimi nijuavyo Wosia huwa halali baada ya Muandika wosia huo na msimamizi wa Kisheria ni Aliyemtaka yeye kukubali kusimamia!.....
Je tujiulize Katunzi ni msimamizi au ni mrithi wa Mirathi hii...
Hawa watoto wa Marehemu Askofu Mkuu wa EAGT wako kwenye Makundi mawili kutokana na Msimamo wa wosia alioacha Baba yao Mzazi yaani wako wanaoukubali na wengine wanaoukataa.
Kwanza kabisa turudi kwenye Historia ya Marehemu Askofu Mkuu Moses S. Kulola hasa wakati wa Mwisho wa Uhai wake...
1: Rais Mwizi Fisadi.
2: Waziri Mkuu kapoteza Imani Bungeni.
3: Waziri wa Elimu ana Undugu na Rais.
4: Chama cha Walimu Kinaidai Serikali.
5: Polisi wanolinda Mtihani Mshahara Mdogo.
Unataka Ndalichako afanye nini na Necta yake kama si kumuonea huruma kwani hata hapo alipofika kajitahidi...
Muungano ni Kiunganishi kati ya Tanganyika na Zanzibari hivyo Nafasi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ni Moja kati ya Dawa ya Maumivu kwa kuwatuliza Wazanzibari katika Muungano.
Aidha kwa Zanzibari pia Makamu wa Kwanza wa Rais ni Dawa ya Maumivu kwa Chama kikuu cha Upinzani kwani nao...
Jeshi la Wokovu! Hawa ni wamishenari toka Ughaibuni ila kwa hapa Tanzania waweza kufika Makao Makuu yao Kurasini mkabala na Kikosi cha Mgulani JKT Barabara Kilwa.
Ukitokea Kariakoo au Posta au Mbagala unashuka kituo cha Salvation Army.
Walimu ni Pumbavu sana Maana kama nafasi Miaka mitano kabla ya Uchaguzi Mkuu wanapewa shavu la ajabu sana nalo ni Kusimamia Uchaguzi je Mmeweza kuthubutu au ndo Mnakumbuka Shuka Saa Mbili asubuhi.
Kudadadeki zenu Walimu! Mimi naona sawa tu kwani sijaona watu Mazoba kama ninyi maana Akili zenu...
Acheni Kuminya Wanajamii kumbukeni ni Nyegez zilimfikisha hapo alipo! Maana huwezi kuchukua Kila Demu Mzuri wengine Balaa.
Mkataa Pema siku zote Pabaya panamuita! Na Dawa ya Jeuri ni Kusudi.
Nenda Kanumba ukutunate na Hukumu ya Mungu sisi wanadamu tusioijua maana nasi tunakuja but umeacha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.