hakika january magamba anania ya kutaka kupata nafasi katika moja ya wizara hizi zinazotegemewa kuachiwa na mawaziri waliopo, sasa hataki kuonekana ni msaliti,
wadau wa jf tunahitaji kufaha idadi wa wabunge tu nje ya cdm watakaomuunga mkono mh zito ili hoja yake iweze kupita na kumpumzisha mtoto wa mkulima aliyetekwa na kuponzwa na maf.sa.i
1-49 CHADEMA
50. MBUNGE WA LUDEWA
51 MREMA
52 CHEYO
53. KAFULILA
54.MKOSAMALI
55.
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65...
WAKUU NIWAPE UCHAMBUZI WA UHAKIKA KUHUSU JIMBO LA NGORONGORO KAMA MDAU WA KARIBU SANA, WILAYA INA TARAFA TATU. SALE, LOLIONDO NA NGORONGORO, KATKA CHAGUZI ZOTE ZA ZILIZOSHIRIKISHA MGOMBEA TOKA TARAFA YA NGORONGORO ALIPITA KWA URAHISI KUTOKANA NA KUWA NA IDADI KUBWA YA WAPIGA KURA WANAOISHI...
tatizo linaloikumba TTCL ni management mbovu usitaka kuangalia maslahi mapana ya nchi, wachache wanaihujumu shirika hili na kuonekana kuwa kama shamba la bibi.ukirudi nyuma utatambua kuwa TTCL ni miongoni mwa mashirika ya kwanza tena kwa industry ya mawasiliano ilikuwa ni ya kwanza Tanzania na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.