inasikitisha saana kuona watu wanashabikia vurugu kiukweli hii sio dalili nzuri kwani siku inchi hii yakitokea machafuko hakuna atakaye pona kwa wote tuliopo,naomba tuhamasishane kuwa na utulivu na kuzifanyia utatuzi wa busara tofauti zetu,vinginevyo hata pona mtu hapa!!
INGEKUA CHINA SASA HV TUNGEKUWA TULISHA KUWA HATUNA HAO MAWZIRI NA TAYARI WAMENYONGWA!!!!! BUT NOW MAIGIZO TU,WAPI HOJA YA MADAKTARI YAKUTAKA MWZIRI WA WIZARA YA AFYA WAACHIE NGAZI!!!!! daaaah this country bwana is very poor!!!!!
pumbavu kabisa,yaani huoni hata haya kuandika pumba,ukijakuugua uanze kusumbua ndugu zako?!!! tena nakupa ushauri wa bure, kaa baada ya miezi mitatu ukapime wewe na huyo mjinga mwenzio na usitiane nae tena,mpaka uhakikishe kuwa huna maambukizi wewe na yeye,then ndio uje na swali lako!!!
kwa mimi niliye fanya kazi kwenye media kama hiyo,hawajamaa huwa hawana kitu kimoja kinaitwa,intercommunication,hiyo inamuwezesha msomaji kuwasiliana na director bila mtazamaji kujua,coz sikuzingine utasikia saut ya mtu anasema kwa suti ENDELEA STORY HAIPO!!! then utamuona msomaji anavyo...
daaaaaaaaaaah!!!1 hapo umenena best,aise imekuwa kama ndio ugonjwa wao!!! sijui kwanini hawlifanyii kazi hilo,jana usiku kwenye habari za biashara ilikua full mzinga uleule!!!!
i can not belv in this issue yaani all about is ongezeko la sh 100 daaaaah kweli siasa nimchezo mchafu,wanainch tutaendele kuwamadaraja ya waheshimiwa !!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.