Milvik Tanzania Ltd (BIMA Mkononi)
Dar es Salaam, Tanzania
Anwani: Whitestar Complex, Kiko Avenue, Mikocheni, Dar es Salaam 31308, Tanzania
Tunapenda kuwatangazia nafasi za kazi Watanzania wote waliohitimu angalau stashahada au zaidi.
Majukumu ya kazi
Kupokea na kupiga simu kuwapa elimu...
Nimepoteza muda wangu kusoma nikijua labda kuna jambo nitalipata kumbe ni kelele za kujisifia tu? Sasa hivi kweli July wewe uundiwe kikao for what so special you have? Labda kama sio ww July ninayekujua. In politics za upinzani wewe hauna impacts kabsaaa, ni sawa na kujitahidi kukojoa kwenye...
Niliwahi kwenda PPF kutaka kupata maelezo zaidi kuhusu hilo Fao la kujitoa, wakaniambia halipo kwasasa kutokana na sheria iliyopitishwa na serikali. Bahati nzuri nilienda na gazeti lenye kichwa kinachosema "Fao la kujitoa ruksa" ambayo ilikua ni kauli ya mwenyekiti wa SSRA. Nilivyowauliza kuhusu...
Kamwe huwezi kutenda na wote wakarithika kama nafasi ni moja na wahitaji ni milioni. Jambo la msingi ni kushikamana na kutanguliza mbele maslahi ya chama kuliko maslahi zetu binafsi.
Kuna masuala mengine hayahitaji kuumiza kichwa sana kuyatafakari, ACT ni chama kipya ambacho hakina hata mwaka mmoja, hakina hata mbunge mmoja kwenye bunge la JMT lakini wanafanya mikutano almost nchi nzima. Swali la kujiuliza, wanapata wapi ufadhili wa kufanya mikutano yote hiyo? Ilihali hawana...
Wadau punguzeni uongo, mimi nafanya kazi OGE-Moshi, Ofisi ipo DTB building na kwasasa wamechukua lile jengo wanaita M-POWER building..... Ni miongoni mwa kampuni zinazolipa vizuri sana na hawaangalii experience na vile vile ukifanya kazi kwa mafanikio unaweza kuwa promoted ndani ya mwaka na...
Hizi ni cheche tu, bado kuna moto wa mambo lukuki ambayo watanzania hawajui kuhusu Lowasa. WanaMonduli tunahitaji kuona mkitumia vyema kalamu zenu kutoa CV halisi ya Bwana Lowasa kwa Watanzania ambayo itajikita kwenye "THE DARK SIDE OF LOWASA" ili watanzania watuelewe ni kwanini tunasema hafai...
TAFAKURI YANGU
Ndugu vijana wenzangu na watanzania wote, mustakabali wa taifa letu upo mikononi mwetu, mustakabali wa vizazi vijavyo ndani ya taifa letu upo kwenye maamuzi yetu ya leo, mustakabali wa rasilimali zetu upo kwenye sheria, kanuni na taratibu tunazoziweka kwa sasa, mustakabali wa...
Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Nianze waraka wangu huu kwa kutanguliza salamu zangu za dhati kwako. Kwa taratibu za mila na desturi za kimasai, napaswa nikusalimie kama baba yangu kwa kusema "Airoroki papa". Tukirudi kwa lugha yetu mama ya taifa napaswa nikusalimu kwa...
Kanisa katoliki ni miongoni mwa hasasi za kidini zinazotuhumiwa kuhujumu uchumi kwa bank yake (Mkombozi Bank) kutakatisha fedha haramu na kiongozi wake mkubwa Askofu Methodius Kilaini kutuhumiwa kupata gawio la fedha hizo haramu. Kwanini taasisi hii isifutiwe usajili hapa nchini ili iwe...
Wazo langu!!!!
Hivi majuzi tulishuhudia mkusanyiko wa vijana zaidi ya 10,000 pale uwanja mkuu wa taifa wakisubiri kufanyiwa usaili na idara ya serikali ya uhamiaji. Nafasi zilizokua zikiwaniwa na kundi hili ni nafasi 70 tu, hivyo kufanya zaidi ya vijana 10200 kurejea mtaani kuungana na genge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.