Hvi kwa kinacho endelea bungeni tangu uchaguz wa mwaka juz ni nini tumesikia cha kuufaidisha umma wetu zaidi ya kusikia mishahara ya wabunge,umeme,maji,mafuta kuongezeka kwa fujo? Kwanini daktari asiongezwe mshahara mara dufu kuliko hawa maswahubu kujimegea mishahara isiyo kifani bila jipya hapo...
Kaka ukistaajabu ya musa utazima kuona samsoni akivunja miamba.. Nilicho sikia mimi ni kwamba eti kwa kuwa shule za kata ndio hasa hufanya vibaya! Hzo ndizo zimelengwa kufanyiwa hyo adjustment ili serikali waonekane wame upgrade ktk kusimamia muamko wa elim. Ndo taifa letu jamani. Litawaliwalo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.