sheria iliyopo inamapungufu mengi kama cyber crime na matumizi ya cafe ambayo serikali inayafanyia kazi kupitia tume ya kurekebisha sheria.
ki ukweli panahitajika sheria thabiti itakayopambana na makosa mbalimbali ya mawasiliano
Kwahiyo hiki Chama cha Wanajeshi wa Kikiristo kiko registered hapa Tanzania na kwa mfumo upi hasa?
siamini kwa kigezo kuwa hiki kikundi si cha kiraia bali ni cha kijeshi yaani wanajeshi(sio raia) wa kikristo.
labda mnipe ufafanuzi JF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.