Wana JF tuwe makini sana na kauli zetu kwa kuwa tutakuja kusutwa na Historia mbeleni. Niwape mfano, tukiwa pale Mlimani (UDSM) mwaka 1995 Mh. Ben Mkapa alipochukua Fomu kugombea Urais TAHLISO kwa kauli moja ilikutana Mlimani na kutoa kauli kwamba Mkapa hafai kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa...
Siamini kama ZZK anaweza kuwa na uelewa mdogo kiasi hicho. Nilidhani angejitetea kwanza na uamuzi ukitolewa angekwenda Mahakamani kupinga adhabu aliyopewa.
Kuzuia Kikao maana yake nini? Kama ana wafuasi wengi kwa nini ang'ang'anie CHADEMA? Si ajotoe na kwenda wanakomuhitaji au kule ambako...
Acheni Ubishi usio na logic. mtu unabisha kwamba Udsm sio Chuo bora Wakati ulikosa sifa za admission ukakimbilia Mzumbe!
Dunia Nzima inajua kwamba kwa Tanzania University ni Udsm tu wengine wamebatizwa tu majina ! kweli itawaweka Huru Daima
Wewe rudi kwa shemeji yako unakojihifadhi. Utapewa mbwa hata kumi. Pia acha unafiki na kula rambirambi za wafiwa na kuisema Chadema ila itangaze CCM ililyokulea wewe na wazazi wako.
Toyota Gaia Silver, Model 2002, Automatic, cc1998 petrol, station wagon,Tare weight 1222, Gross weight 1600, seating capacity 6 passangers excluding a driver, distance covered to date 122000km. Insured till march 2014, Road license expires 9th July 2014, in good condition. Price negotiable...
Katika kutetea maslahi ya Tanzania daima tutakuwa pamoja na Rais wetu. Hotuba ilijaa busara na hekima ya hali ya juu! Hongera sana Washauri wa Rais! Mungu ibariki Tanzania!
Tatizo la kusoma Vyuo vya Kata! Hata kuelewa nilichoandika ni tatizo? Ningeandika Kiingereza si ingekuwa tatizo kubwa. Nimesema MZUMBE ni Institute siyo University! UMEELEWA?
SOMA MTOTO WA KIKE
Soma mtoto wa kike, soma usitetereke,
Soma usishawishike, hadi mwishoni ufike,
Soma nyadhifa ushike, Nchi hii utumike,
Soma nakutegemea, soma mtoto wa kike.
Soma usibabaike, mafundisho uyashike,
Soma usidanganyike, vishawishi uepuke,
Soma kisha...
Kwa wale wapenzi wa Nyumba Ndogo angalia Shairi hili:
Nyumba ndogo si fahari,si pendo ulimbukaji,
Pendo lisilo nadhari, daima unyatiaji,
Mara nyingi ni kaburi, la kufukia mitaji,
Sisaliti Ndoa yangu, sababu ya nyumba ndogo.
Sababu ya nyumba ndogo, sisaliti Ndoa yangu,
Mke...
MADENTI HUKO VYUONI
Hakika sisi wazazi,mno mwatufedhehesha,
Madenti wa siku hizi,sana mwatunyong'onyesha,
Kwanza ni hayo mavazi,kweli mwatuaibisha!
Kuweni Waadilifu, Madenti huko Vyuoni.
Madenti huko Vyuoni,bure mwajidhalilisha,
Mwazurura mitaani, na usiku "kujirusha"...
MADENTI HUKO VYUONI
Hakika sisi wazazi,mno mwatufedhehesha,
Madenti wa siku hizi,sana mwatunyong'onyesha,
Kwanza ni hayo mavazi,kweli mwatuaibisha!
Kuweni Waadilifu, Madenti huko Vyuoni.
Madenti huko Vyuoni,bure mwajidhalilisha,
Mwazurura mitaani, na usiku "kujirusha"...
MADENTI HUKO VYUONI
Hakika sisi wazazi,mno mwatufedhehesha,
Madenti wa siku hizi,sana mwatunyong'onyesha,
Kwanza ni hayo mavazi,kweli mwatuaibisha!
Kuweni Waadilifu, Madenti huko Vyuoni.
Madenti huko Vyuoni,bure mwajidhalilisha,
Mwazurura mitaani, na usiku "kujirusha"...
Kwani Gazeti la MTANZANIA bado lilikuwa Sokoni hadi sasa? Mimi tangu kununuliwa kwa KAMPUNI ya HABARI corporation na watu fulani, nilishaacha kabisa kusoma RAI , MTANZANIA na ndugu wengine wa Kampuni hiyo baada ya kuona UANDISHI usiozingatia Maadili na usio na ADABU kwa Serikali.
Hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.